Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ni coincidence tu wala haina muujiza wowote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekutokea wewe!?Mkuu ndio imetokea hii juzi
Ipo. Mama yangu mzazi alizaliwa September 25, 1941 na kufariki September 25, 2007.Mmh sijawahi ona hii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo umezaliwa upya.Kama mm nilizaliwa may 28 1994 nikafa may 28 2010
Bangi ni hatari kwa maisha yakoImekutokea wewe!?
Vp huko ahera kukoje?
anazingua huyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo umezaliwa upya.
Pole mkuuIpo. Mama yangu mzazi alizaliwa September 25, 1941 na kufariki September 25, 2007.
Alikaa hospital akipata matibabu kwa siku 59. Siku ya birthday day tulimwimbia akiwa kitandani na kumwekea maua na kadi za kumpongeza. Tulipoondoka tu, akafariki. Tukarudi kulia, wakati dakika chache tulifurahi kando yake!
Sijakuelewa mkuuJe, tarehe kwenye makaburi yote yenye mtindo wa kuweka tarehe ya kuzaliwa na kufariki yanaonesha mpangilio unaousema?
Niliwah isikia hii habari...Hivi vitu havinaga majibu vyote Mungu anatakaa Tumshangae tu kwa maajabu yake
vipi lile swala la ozil
Jamaa kafa.. siku chache ozil kazaliwa anafanana na marehemu...
Siku ya birthday yake kama ni mgonjwa huwa na presha kali kama atapita siku hiyo na ugonjwa wake, matokeo yake anapata mshituko au anadondoka anakufa. Anakufa kwa kimuhemuhe au excitement ya birthdateYaani unazaliwa tareh 1 mwezi wa 3 1999 na unakufa tarehe 1 mwezi wa 3 2000
Sumu ipi kali unayozungumzia ambayo ukinywa hufi.?Hamna aliyejipangia siku ya kuzaliwa Wala kufa. Kama siku yako ya kufa haijatimia hata ukinywa sumu gani Kali, utapona tu
Unamfahamu MWAKYEMBE?Sumu ipi kali unayozungumzia ambayo ukinywa hufi.?
Em jaribu ht sumu ya panya afu ulete mrejesho baada ya kukimbizwa hospital
hii ni kwel MkuuuNiliwah isikia hii habari...
Kama mm nilizaliwa may 28 1994 nikafa may 28 2010
AmefanyajeUnamfahamu MWAKYEMBE?
Mwanadamu anaweza kukuandalia kifo, muda wa kifo chako, eneo la kifo chako na sababu ya kifo chako.Amefanyaje