Inakuwaje tarehe na mwezi wa kuzaliwa na kufa vinafanana?

Inakuwaje tarehe na mwezi wa kuzaliwa na kufa vinafanana?

Mwanadamu anaweza kukuandalia kifo, muda wa kifo chako, eneo la kifo chako na sababu ya kifo chako.
MWAKYEMBE amenusurika Mara mbili vifo vya kupangiwa na wanadamu.
Cha Kwanza alipangiwa ajali Mafinga, Mungu akamuokoa.
Cha pili alipigwa sumu mujarabu kutoka Urusi.
Kwahiyo sio kila kifo ni cha asili
Sumu toka urusi??
 
Yaani unazaliwa tareh 1 mwezi wa 3 1999 na unakufa tarehe 1 mwezi wa 3 2000
Hii hutokea mungu akiwa na stress za zambi zetu hapa kwa dunia, ko akiwa anapanga ck ya uumbaji wako anasahau na kuiweka kuwa ndiyo ck ya kifo chako😆,
NB. Mungu ni Mungu tu.
 
Back
Top Bottom