Inamaana vyombo husika vimeshindwa kumshughulikia Mpina?! Kweli kabisa? Naomba Mimi nipewe kazi hiyo!

Inamaana vyombo husika vimeshindwa kumshughulikia Mpina?! Kweli kabisa? Naomba Mimi nipewe kazi hiyo!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
 
Tujitahidi kunywa pombe tuzimalize ili wajukuu zetu wakikua wasizikute😎😎
GPszKjhXkAASP6r.jpeg
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Wewe ni umbwa tu umejaa mavi kwenye ubongo wako, tuliza matako
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Matatizo yote hayo ya kiuchumi, rushwa, wizi na kiafya yanayo wakumba watanzania wewe hauyaoni kuwa ni tishio kwa taifa, bali kwako Mpina ndiye tishio?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni


Anza na wale ambao mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali aliwasema
 
Shida ya watu wengi hapa nchini ni kutaka kila mtu awaze na kuishi kama wao,ikatokea mtu yuko tofauti nao wanawita msaliti na kumsagia meno wakitaka kumwangamiza!...hatuwezi kufanana mitazamo na namna tunavyoishi,tuvumiliane na kukubali kusikiliza hata tusivyotaka kusikia!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Tubia huu uovu wako..
 
Utakazwa wewe endelea leta mshindo nyegeh
 
Back
Top Bottom