Inamaana vyombo husika vimeshindwa kumshughulikia Mpina?! Kweli kabisa? Naomba Mimi nipewe kazi hiyo!

Inamaana vyombo husika vimeshindwa kumshughulikia Mpina?! Kweli kabisa? Naomba Mimi nipewe kazi hiyo!

Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Mjinga Mmoja wewe !!.


Hilo bichwa umepewa la kuvukia barabara?.


Watu wajinga Huwa mnatuchukia wenye akili.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Kosa la Mpina ni kuwa na akili kuliko wewe na wenzako?
 
Hizi ni moja threads zinazohuzunisha sana! Kweli uchawa, elimu, ujinga bado upo?!
Kazi ipo bado kubwa sana sana sana
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Mbeya ilitishia kujitenga iwapo Mwakyembe angekufa kipindi amenyonyoka nywele
 
Kumetokea nini jamani...mbona huyo mzalendo ameshushiwa kipigo cha maneno...
Wananzengo wanampiga hasa yaani dah!

Sidhani kama atarudi....

Mpina kapewa kucheza sehemu iliyopaswa kuchezwa na akina Lissu, Lema na Heche bungeni. Kwa vile hawapo, na ili bunge lionekane kuwa angalau lina kaupinzani, Mpina ndiyo kapewa huo uhusika wa kuamsha amsha maana hata wale Covid 19 hakuna kitu.

Huyu mzalendo wetu feki yeye haelewi cho chote anajipunyangia tu. Acha apopolewe!
 
Mzalendo uchwara.

Mtu ukipishana nae mawazo mbadala humshughulikii bali kujibu.
 
Wananzengo wanampiga hasa yaani dah!

Sidhani kama atarudi....

Mpina kapewa kucheza sehemu iliyopaswa kuchezwa na akina Lissu, Lema na Heche bungeni. Kwa vile hawapo, na ili bunge lionekane kuwa angalau lina kaupinzani, Mpina ndiyo kapewa huo uhusika wa kuamsha amsha maana hata wale Covid 19 hakuna kitu.

Huyu mzalendo wetu feki yeye haelewi cho chote anajipunyangia tu. Acha apopolewe!
Hataki watu wakosolewe...
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Wewe ndio wakushughulikiwa.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Haya maneno yatakuja kukucost siku moja.

ID fake isikufanye ujione uko salama sana.
Luhanga akidhurika kwa namna yoyote leo hata kwa ajali wewe utakuwa Suspect Namba One.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Wewe ni mbwaaa Koko
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Ndiyo upuuzi uliojaza kichwani🤔, badara uwaze uchumi wa nchi utaukuzaje, wewe unalala usingizi wa mang'amung'amu ukimuwaza Mpina😅😅. Achana na Mpina fanya kazi yako, ni aibu PhD kujigeuza chawa😅😅.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Watu wengine ni wa kuwapuuza tu wanajimaliza wenyewe kisiasa. Ila kama analoliongea Lina mantiki basi Kuna haja ya kuchukua hatua kama ni porojo basi hata wapiga kura wake watampuuza
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Ngoja tukishugulikie wewe kwanza uone utamu wake
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Ila wewe ni mjinga sana
 
I think that it's important to make constructive criticisms of the government as a whole and criticisms of the policies,initiatives and programs..Productive disagreements..

Our maturity will be judged by how well we are able to agree to disagree and yet continue to love one another, to care for one another, and cherish one another and seek the greater good of the other.
 
Back
Top Bottom