Inamaana vyombo husika vimeshindwa kumshughulikia Mpina?! Kweli kabisa? Naomba Mimi nipewe kazi hiyo!

Inamaana vyombo husika vimeshindwa kumshughulikia Mpina?! Kweli kabisa? Naomba Mimi nipewe kazi hiyo!

I think that it's important to make constructive criticisms of the government as a whole and criticisms of the policies,initiatives and programs..Productive disagreements

Our maturity will be judged by how well we are able to agree to disagree and yet continue to love one another, to care for one another, and cherish one another and seek the greater good of the other.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Kama hujarogwa basi tambua wewe ni jinga linaloishi.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Huna hata aibu kujiita 'mzalendo'?
Machizi mmekuwa wengi kupita kiasi safari hii. Kila siku anaibuka chizi mpya.
 
Shida ya watu wengi hapa nchini ni kutaka kila mtu awaze na kuishi kama wao,ikatokea mtu yuko tofauti nao wanawita msaliti na kumsagia meno wakitaka kumwangamiza!...hatuwezi kufanana mitazamo na namna tunavyoishi,tuvumiliane na kukubali kusikiliza hata tusivyotaka kusikia!
Acha upumbavu wewe juha!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
Wewe kapuku unataka mpina auawe? Kama kawaida ya maccm?

Mpina alikuwa sukuma gang tuliyoikataa

Pamoja na Hilo lakini anatoa hoja za mashiko kuhusi wanaccm wezi wenzake na mwendazake

Hivyo alindwe na Kila mzalendo
 
Wananzengo wanampiga hasa yaani dah!

Sidhani kama atarudi....

Mpina kapewa kucheza sehemu iliyopaswa kuchezwa na akina Lissu, Lema na Heche bungeni. Kwa vile hawapo, na ili bunge lionekane kuwa angalau lina kaupinzani, Mpina ndiyo kapewa huo uhusika wa kuamsha amsha maana hata wale Covid 19 hakuna kitu.

Huyu mzalendo wetu feki yeye haelewi cho chote anajipunyangia tu. Acha apopolewe!
unavyokomenti sasa kama vile umekomenti kitu cha maana kutoka kwa mtu makini kumbe ni limbukeni tu aliyejifanya mwanasaikolojia kipindi fulani miaka ilee
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hivi luhaga mpina inakuaje hadi leo hii hajashughulikiwa?

Yaani vyombo vyote husika vyenye weledi vimeshindwa kumshugulikia kwa kuiabisha mamlaka iliyopo kuu?

Shida ni nini hasa? au bado mchakato inaendelea?

Naomba Mimi mzalendo nipewe kazi hiyo, nipewe rasilimali za kutosha, naahidi nitaikamilisha mapema kabisa kwa mujibu wa kanuni husika

Aksanteni
TumainiEl alisemaga hivi hivi kwa Beni Sanane, sote ni mashuhuda hadi leo haijulikani alipo Saanane. Hii post siyo ya kupuuza hata kidogo.
 
Apigwe nduli mpina......(tuitikie wote) Apigweee!!!
 
Watu wengine mpo hai kwa sababu ni dhambi kuwaua.. Lakini kiuhalisia alitakiwa muwe mmeshakufa.. Hamna faida..
 
Back
Top Bottom