Inamaana vyombo husika vimeshindwa kumshughulikia Mpina?! Kweli kabisa? Naomba Mimi nipewe kazi hiyo!

I think that it's important to make constructive criticisms of the government as a whole and criticisms of the policies,initiatives and programs..Productive disagreements

Our maturity will be judged by how well we are able to agree to disagree and yet continue to love one another, to care for one another, and cherish one another and seek the greater good of the other.
 
Kama hujarogwa basi tambua wewe ni jinga linaloishi.
 
Huna hata aibu kujiita 'mzalendo'?
Machizi mmekuwa wengi kupita kiasi safari hii. Kila siku anaibuka chizi mpya.
 
Acha upumbavu wewe juha!
 
Wewe kapuku unataka mpina auawe? Kama kawaida ya maccm?

Mpina alikuwa sukuma gang tuliyoikataa

Pamoja na Hilo lakini anatoa hoja za mashiko kuhusi wanaccm wezi wenzake na mwendazake

Hivyo alindwe na Kila mzalendo
 
unavyokomenti sasa kama vile umekomenti kitu cha maana kutoka kwa mtu makini kumbe ni limbukeni tu aliyejifanya mwanasaikolojia kipindi fulani miaka ilee
 
TumainiEl alisemaga hivi hivi kwa Beni Sanane, sote ni mashuhuda hadi leo haijulikani alipo Saanane. Hii post siyo ya kupuuza hata kidogo.
 
Apigwe nduli mpina......(tuitikie wote) Apigweee!!!
 
Watu wengine mpo hai kwa sababu ni dhambi kuwaua.. Lakini kiuhalisia alitakiwa muwe mmeshakufa.. Hamna faida..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…