Elections 2015 Inang'ara CCM, Kimenuka kwa Wapinzani

Elections 2015 Inang'ara CCM, Kimenuka kwa Wapinzani

Sijuhi umekalia nini hadi upate muhemko kiasi cha kushindwa kuandika ukaeleweka...!!

Anyway; ccm wana maneno mazuri kwenye majukwaa... Kiutendaji wanatenda tofauti.... Wanaongea hiki wanatenda kile ambacho hawakukisema lakini wanakiamini 100%!

Tatizo NI sisi wenyewe Wananchi. Akili zetu tume zilaza na kuziaminisha kuwa kila kitu kita letwa na wanasiasa which is not. Development starts in side you then to your family then your neighborhood then Regionally then Nchi nzima. Kila mtu ana wajibu wakuleta na kuulizwa wapi tume teleza. Leo hii ukisemea umasikini lazima tuji ulize Mimi Na wewe wapi tume teleza Na wapi Na kipi tufanye tuji kwamue. Tuki pata majibu tuka yafanyia Kazi hakika Nchi ita endelea. Nguvu Kazi NI sisi. Mfano mzuri China waChina wote wame jitoa KWA ajili ya China. Na sasa USA. Sisi tuna anza kutafuta mchawi serikalini wakati mchawi yuko Ndani. Kama mwanao mvivu hataki kujishughulisha Na wewe una mchekea wewe pia NI kikwazo cha Maendeleo maana una Lea umasikini.
 
Akafanye tuu mbona wanaomaliza mda wamefanya biashara ikulu, kama hawajafanya, niambie alikopa utajiri Riz one? Tumechoka ccm iondoke tuu
 
Maana ya kuwa nje ni kwamba sio mtu wa serikali ni mtu wa chama, kwani mkapa na mwinyi wapo kwenye serikali? si wapo nje ya serikali? pili Tatizo ni chama ccm sio mtu na ndio maana hata baada ya lowasa kujiuzuru bado mkaiba pesa za tegeta Escro na bado mkanunua vivuko vibovu kwa dhamani ya juu,

Magufuli ameuza nyumba za serikali leo serikali inapata hasara ya kuwapangishia viongozi.... Magufuri ndie alikamata samaki na akashindwa kesi leo tunalipa bilion of money kwa wale jamaa

CCM ni janga la dunia

Kuhusu samaki NI sisi wenyewe Wananchi tulio ingiza hasara KWA Nchi Na Serikali yetu kwanini, kwa sababu sisi ndio tulisema tumeona meli ina vua samaki ndivo sivyo Waziri akaja aka wauliza Wananchi mkathibitisha ika kamatwa samaki mka gawiwa wote. Kesi ikaenda kwenye kesi kuna mawili ushinde au shindwe kesi . Magufuli Kazi yake ili ishia pale kukamata na kugawia Wananchi samaki kma mlivo taka sasa hii ya kushindwa kesi NI mwanasheria Wa Serikali aliye pewa jukumu la kusimamia hiyo kesi.
 
CCM Chama imara Na chenye Sera nzuri. Wame pagawa wapinzani hawajui wafanye nini hawana pakushika. Hawana Ilani. Sera mbovu. Mapemaaa ina soma namba.

mmeamua kupeana na namba kabisa (ID). Hop umeshaingiza mkate wa siku
 
Akafanye tuu mbona wanaomaliza mda wamefanya biashara ikulu, kama hawajafanya, niambie alikopa utajiri Riz one? Tumechoka ccm iondoke tuu

Riziwani kwanza ni mwanasheria Wa kujitegemea Na ana kampuni yake kubwa ya sheria. Pia NI mfanya biashara. Sasa nenda kanisomee kifungu chochote cha sheria za Nchi yetu nitafutie sehemu inayo sema Mtoto Wa Rais haruhusiwi kuwa mfanya biashara au kuwa Na Kazi ya kujiingizia kipato. Uki ipata tuletee humu.
 
Tatizo NI sisi wenyewe Wananchi. Akili zetu tume zilaza na kuziaminisha kuwa kila kitu kita letwa na wanasiasa which is not. Development starts in side you then to your family then your neighborhood then Regionally then Nchi nzima. Kila mtu ana wajibu wakuleta na kuulizwa wapi tume teleza. Leo hii ukisemea umasikini lazima tuji ulize Mimi Na wewe wapi tume teleza Na wapi Na kipi tufanye tuji kwamue. Tuki pata majibu tuka yafanyia Kazi hakika Nchi ita endelea. Nguvu Kazi NI sisi. Mfano mzuri China waChina wote wame jitoa KWA ajili ya China. Na sasa USA. Sisi tuna anza kutafuta mchawi serikalini wakati mchawi yuko Ndani. Kama mwanao mvivu hataki kujishughulisha Na wewe una mchekea wewe pia NI kikwazo cha Maendeleo maana una Lea umasikini.

Kumbe unazo akili nzuri tu..... Unaonaje na sisi mwaka huu tuamue kuwa kama hao unaowasema ili tufanye mabadiliko makubwa ya nchi yetu...
Nchi kwanza ccm baadaye...!!

ccm ni wachawi wa maendeleo ya watanzania... ccm ni wavivu wa kufikiri ila ni wepesi wa kuwagawa watanzania kwa kuwapa hofu/woga...!!
 
Haya nyie wenye Sera nzuri mmesaidiaje kuondoa umaskini na ujinga Kwa miaka yote mliyokuwa madarakani. Acha ushabiki wa chama, chama cyo team ya mpira use me utashabikia tu hata kama hileti vikombe( Liverpool, arsenal) nooffense
 
Ni kweli kabisa ccm ni chama chenye sera mzuri... Kama kuuzwa kwa twiga wetu, madawa ya kulevya kupita Airport bila Tatizo, kivuko cha mwaka 1978 kimenunuliwa Bilion 8, ukienda hospitali wakina mama wanajifungulia chini, Elimu pia ni mzuri kuna mpaka dv 5, kwa kweli ni chama chenye sera mzuri kabisa

Ukiona mtu anashabikia ccm, ujue huyo uwezo wake wa kupambanua mambo ni mdogo sana
 
CCM Chama imara Na chenye Sera nzuri. Wame pagawa wapinzani hawajui wafanye nini hawana pakushika. Hawana Ilani. Sera mbovu. Mapemaaa ina soma namba.
Ndiyo kutokana na sera Nzuri za ccm now 80% ya watanzania wanaishi kwa zaidi ya Dola tano kwa siku?ccm oyeeeeeeeee!watu kimyaaaaaa
 
Kumbe unazo akili nzuri tu..... Unaonaje na sisi mwaka huu tuamue kuwa kama hao unaowasema ili tufanye mabadiliko makubwa ya nchi yetu...
Nchi kwanza ccm baadaye...!!

Ikitokea ni vizuri. Ila kumbuka Kiongozi bora ana toka Ndani ya CCM. Mabadiliko tuanze sisi. Huyu Lowassa ali kuwa wapi kuleta mabadiliko siku zote. Afadhari ya Magufuli. Tuwe Wa kweli
 
Ukiona mtu anashabikia ccm, ujue huyo uwezo wake wa kupambanua mambo ni mdogo sana

Hapo ndio mna kosea. Kila raia ana uhuru kwa kuwa mwanachama anacho kipenda. Wewe ukiwa Chadema huyu akawa Cuf yule akawa ACT mm nikawa CCM ni sawa. Wote tunaitakia mema nchi hii. Tumeipenda wenyewe. Chaguo letu milele. Na uvimbe upasuke. Utajijua mwenyewe.
 
Hapo ndio mna kosea. Kila raia ana uhuru kwa kuwa mwanachama anacho kipenda. Wewe ukiwa Chadema huyu akawa Cuf yule akawa ACT mm nikawa CCM ni sawa. Wote tunaitakia mema nchi hii. Tumeipenda wenyewe. Chaguo letu milele. Na uvimbe upasuke. Utajijua mwenyewe.

Sababu za kushabikia ccm ni nini. Afu angalia hizo sababu utakazo toa kama hazijaprove my point
 
Tatizo NI sisi wenyewe Wananchi. Akili zetu tume zilaza na kuziaminisha kuwa kila kitu kita letwa na wanasiasa which is not. Development starts in side you then to your family then your neighborhood then Regionally then Nchi nzima. Kila mtu ana wajibu wakuleta na kuulizwa wapi tume teleza. Leo hii ukisemea umasikini lazima tuji ulize Mimi Na wewe wapi tume teleza Na wapi Na kipi tufanye tuji kwamue. Tuki pata majibu tuka yafanyia Kazi hakika Nchi ita endelea. Nguvu Kazi NI sisi. Mfano mzuri China waChina wote wame jitoa KWA ajili ya China. Na sasa USA. Sisi tuna anza kutafuta mchawi serikalini wakati mchawi yuko Ndani. Kama mwanao mvivu hataki kujishughulisha Na wewe una mchekea wewe pia NI kikwazo cha Maendeleo maana una Lea umasikini.
mkuu Umeongea vizuri sana ingawa ninasikitika kuona hujui majukumu ya siasa katika kuleta maendeleo,nasikitika pia pamoja na ccm kujua watanzania akili zetu zimelala na hatuwezi endelea wanagombea na kungangania kuongoza watu wenye akili zilizolala kwa nn?any way watanzania tume jiulize vya kutosha na kujirizisha pasipo chembe ya Shaka Kuwa Adui na kikwazo cha maendeleo yetu ni ccm.
 
Ndiyo kutokana na sera Nzuri za ccm now 80% ya watanzania wanaishi kwa zaidi ya Dola tano kwa siku?ccm oyeeeeeeeee!watu kimyaaaaaa

Ndugu yangu Ndugu yangu. Uki zungumzia Uchumi Wa Nchi yetu uwe Na kichwa kizuri. Najua wengi wetu hali si nzuri kweli. Na wachache wetu hali zao nzuri kiasi. Backbone ya Uchumi Wa Nchi yetu NI Kilimo. Na hata ile Sera ya Kilimo kwanza ili kuwa sahihi kabisa. Tatizo lina kuja kwa vijana wetu Wa kizazi hiki. Wanakimbia mashamba na kuja mjini kujazana wakiwa hawana muelekeo wowote. Wengine wakiwa madereva bodaboda. Wengine vibaka. Wengine maHouse boy. Wengine wakaanga chips ili mradi yuko mjini tu. Una acha watu wazima ambao wengi wame choka Na vijana wachache kule shamba hii ina pelekea production kushuka kwa sababu hakuna nguvu kazi kule shamba na kwa kujazana mijini ambako hakuna mashamba bali akili kuna fanya Consumers kuwa wengi Na production kuwa low Na kufanya bei ya vyakula kupanda. Zamani wali kuwa wana sema barabara ila now barabara ziko sawa za kuleta vyakula kutoka mashambani kuja mijini.
 
nendeni mahakamani mkashtaki. Lowasa ndio habari ya mjini.

Nyie Lowassa akiwa CCM mlisema ni Fisadi na MNA ushahidi wote mbona hamu kwenda? Au Tindu Lissu ali sema mtapoteza pesa? Sisi adhabu tulio mpa ya kumkata ime mtosha.
 
Back
Top Bottom