Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Afanaleki! πππΎHahaha Simba wa bahari, yule anae tangazwa Sana pale kwenye biashara ya Wana ukwaju.
Hahaha hii code kiboko, Sema dauda yuko vizuri pia
si yule Jamaa mpemda mabaiskeli ama ??Afanaleki! πππΎ
Kwa simba wa bahari asingefua dafuβ¦, angechapika vibaya mno! Kale kakijana ni machachari hakuna mfano!
Familia yao nzima mstaarabu ni yule kaka yao wa kule Salamanda tower tu
Najenga picha ya maneno yako nacheka.Yule Waziri naye kilaza tu angekuwa anayejiamini angeutoa ule mkono tena kwa kuubetua kabisa.
Wakiwa ma- RC, Makonda alikuwa ni role model wa hao kina Gambo, Ally Happi na 'Jenerali' Sabaya na Chalamila kwa mbaali. Hivyo Makonda anawajua vyema hao 'madogo' zake. Ni kama alikuwa anawaambia nini cha kufanya na namna gani ya kufanya na ikitokea wanataka kuwajibishwa anawaambia cha kufanya pia ili wasiwajibishwe (mfano, kugomea wito za Waziri).Umeona clip ya upande wa makonda tu,je umeona clip ya upande wa Gambo akimchongea Makonda kwa Waziri ?
Yaani wewe umehitimisha kwa upande mmoja tu ,
Gambo ana hofu na kasi ya makonda ataichukua Arusha ,ndio maana ameanza figisu kumchafua makonda ,
Makonda nae hajataka kusubili kamchana hadharani
Ewaaaaa!!!! Hapo umebashiri kikamilifu πππΎππΎππΎsi yule Jamaa mpemda mabaiskeli ama ??
Mako mzinguaji halafu ana tabia ya kupenda kuongea akiwashika shika wenzake mabega na hiyo huwa ni ishara ya kwamba mimi ni braza wewe ni dogo.
Ona alivyokuwa namshika mabega waziri.
Kabisa na ni tabia yake na anaifanya kwa makusudi kabisa. Kama ni tabia njema yeye binafsi hawezi kutulia afanyiwe vile.Mtu mwenye tabia ile katika maongezi ana tabia ya utemi na utovu wa nidhamu kwa wenzake. Tabia ya umwinyi na kujiona yuko juu katika vyote dhidi ya wengine.
Daah!!Ewaaaaa!!!! Hapo umebashiri kikamilifu πππΎππΎππΎ
Sasa yule sio mabaiskeli tu, majoda, makombat, ma-kungfu, makarate, maboxer na mauhuni yote yamelala pale. Na hapa ipo!
Hahaha namjua kiasi chake, ila pia Kuna verse ya mwana falsafa Ina sema "tajiri mtata Kama ...Ewaaaaa!!!! Hapo umebashiri kikamilifu πππΎππΎππΎ
Sasa yule sio mabaiskeli tu, majoda, makombat, ma-kungfu, makarate, maboxer na mauhuni yote yamelala pale. Na hapa ipo!
Siku atakutana na mwehu atazabuliwa mpaka itakuwa headline nchini. Anatamba sana sijui kwa sababu inasemekana na yeye ni wale wa geti jeusi π€π€π€Kabisa na ni tabia yake na anaifanya kwa makusudi kabisa. Kama ni tabia njema yeye binafsi hawezi kutulia afanyiwe vile.
Mbona alimchana live kwambaHahaha namjua kiasi chake, ila pia Kuna verse ya mwana falsafa Ina sema "tajiri mtata Kama ...
Yule Jamaa ni chizi kweli, kwa level waliyo alikuwa ana weza kupasuana na kisinge tokea kitu.
Si una jua mk ali wakimbiza kipindi Cha uenyekiti wa mkoa
Gambo ana hofu sana makonda atatia Nia kugombea Ubunge..na siku Makonda akitia nia ubunge wa Arusha mjini,anaweza kuwaacha watu wengi midomo wazi,kwa uungwaji mkono.
Arusha ya leo ndio Arusha ninayoijua mimi kabla ya mafigisu ya serikali fulani zilizopitaga..
Mji huu ni wa kutafuta hela asubuhi hadi saa tisa then jioni tunafanya vikao sehemu mbalimbali na kugawana kilicho chetu..
RC amesoma mchezo,anapiga muziki wetu..Gambo amvizie pengine lasivyo atamalizwa kisiasa na hataamini.
Gamboshi ana training mzee, kijana wetu daudi kuna baadhi ya lecture hakuhudhuria tumsamehe ππSema Gambosh ni mpole ingekuwa Lissumo zingepigwa ngumi!!!
ππππSema Gambosh ni mpole ingekuwa Lissumo zingepigwa ngumi!!!
Yap nili jua tu, una jua kitu una weza kijenga kwa muda mrefu halafu uka haribu kwa sekunde 1 tu .Mbona alimchana live kwamba
βWewe kinachokubeba ni mamlaka, ila sisi hatukuogopi na hatuwezi kukuogopa kama kipindi kile, wewe ni mtoto mdogo sana! Katika kila kitu kwangu na famili yetu kwa ujumla. Nitakudhalilisha bure iwe matatizo na chanzo cha kuporomoka kwetu rasmiβ
Ilikuwa masaki, watu shazi sema wengi walikuwa washua na watu weupe. Ni maeneo fulani hivi wanachomachoma vitoweo
Wewe siasa za nchi hii unazielewa vizuri sana.Wakiwa ma- RC, Makonda alikuwa ni role model wa hao kina Gambo, Ally Happi na 'Jenerali' Sabaya na Chalamila kwa mbaali. Hivyo Makonda anawajua vyema hao 'madogo' zake. Ni kama alikuwa anawaambia nini cha kufanya na namna gani ya kufanya na ikitokea wanataka kuwajibishwa anawaambia cha kufanya pia ili wasiwajibishwe (mfano, kugomea wito za Waziri).
Zama za JPM hao ndio walikua ma-RC untouchable, wanaripoti moja kwa moja kwa Jiwe.
Vyama vya Nondo ππUtofauti ni kwamba kwenye CCM kuna dola na dola ni nidhamu.
Kwa mfano Gambo alitakiwa akae kwa adabu (kutulia) kama alivyofanya baada ya kupigwa zile spana, angejaribu tu kunyenyua mdomo basi angeswekwa ndani siku tatu ama zaidi bila dhamana kwa amri ya Mkuu wa Mkoa.
Sasa kwenye vyama vyetu hivi vya siasa we ropoka lolote hakuna wa kukuzuia, tena unaweza kuropoka bila hata ushahidi kufurahisha wana umati wakuone wewe ndiyo staa.
DAB anautaka Ubunge Mkoa wa Arusha na Gambo hilo ameshalijua mapema kabisa tulitegemea ataenda tena Kigamboni kule kwa Ndugulile ila wapi anautaka Mkoa wa Arusha, DAB matamanio yake ya juu ni kuingia Bungeni aende akapate trends na kule ila wenye akili km J hua wanamkata kabla hajafika popote kula za maoni tu kaliwa kichwa lakini huyu mama atatimiza matamanio ya DAB, DAB tamanio lake la juu ni kuingia Bungeni na hilo Gambo analijuaBinafsi sikuona sababu ya RC kuwaka hadharani Kwa sababu Gambo ni Mwanasiasa na alichofanya ni Propaganda ya kawaida kabisa Kufanya Wananchi wajue CCM inawajali
Kuhudhuria Vikao ama la hilo ni swala la kiutawala na Lina kanuni zake za kinidhamu siyo tu kurushana roho hadharani
Nahisi kuna moto unawaka Chini Kwa chini CCM kama ulivyoanza Huu wa Chadema miaka Miwili iliyopita na sasa Umekolea
Ni tahadhari tu πΌ
Na akiingia bungeni anateuliwa kuwa Waziri MkuuDAB anautaka Ubunge Mkoa wa Arusha na Gambo hilo ameshalijua mapema kabisa tulitegemea ataenda tena Kigamboni kule kwa Ndugulile ila wapi anautaka Mkoa wa Arusha, DAB matamanio yake ya juu ni kuingia Bungeni aende akapate trends na kule ila wenye akili km J hua wanamkata kabla hajafika popote kula za maoni tu kaliwa kichwa lakini huyu mama atatimiza matamanio ya DAB, DAB tamanio lake la juu ni kuingia Bungeni na hilo Gambo analijua