Inaonekana sehemu kubwa ya teenagers nchini wameingia kipindi cha kufanya ngono na kuanzisha familia, serikali ianze kujipanga kwa madawati mapema.

Inaonekana sehemu kubwa ya teenagers nchini wameingia kipindi cha kufanya ngono na kuanzisha familia, serikali ianze kujipanga kwa madawati mapema.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwa muda miezi kadhaa sasa mfufulizo nimeona nyuzi nyingi sana zinazoonekana ni za vijana wadogo wakitaka kupata uzoefu mbalimbali kuhusu mapenzi, mahusian au ndoa, wakiulizia watu sahihi wa kuoana au malalamiko mbalimbali ya mahusaina, mapenzi na ndoa yanayoonekana ni kutoka kwa vijana wenye umri mdogo ambao ndio wanaanza maisha tu.

Kwa hali hii serikali inapaswa kujua mapema kitakachofuatia baada ya miaka mitano ijayo katika sekta ya elimu na afya, isije kukurupuka na zimamoto za wakunga, vituo vya afya, madarasa na madawati katika kipindi hicho.
 
Kwa muda miezi kadhaa sasa mfufulizo nimeona nyuzi nyingi sana zinazoonekana ni za vijana wadogo wakitaka kupata uzoefu mbalimbali kuhusu mapenzi, mahusian au ndoa, wakiulizia watu sahihi wa kuoana au malalamiko mbalimbali ya mahusaina, mapenzi na ndoa yanayoonekana ni kutoka kwa vijana wenye umri mdogo ambao ndio wanaanza maisha tu.

Kwa hali hii serikali inapaswa kujua mapema kitakachofuatia baada ya miaka mitano ijayo katika sekta ya elimu na afya, isije kukurupuka na zimamoto za wakunga, vituo vya afya, madarasa na madawati katika kipindi hicho.
NBS si ndio kazi yao?
 
Back
Top Bottom