Pre GE2025 Inaonekana Uamuzi wa Tundu Lissu kugombea tena unamuumiza kichwa Rais Samia

Pre GE2025 Inaonekana Uamuzi wa Tundu Lissu kugombea tena unamuumiza kichwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
 
Si waungane tu
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatobo
 
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Anapungukiwa lugha ya ushawishi kwa wapiga kura wasio wafuasi wa chama chake. Nilimuona kwenye kampeini uchaguzi uliopita akiwa kijijini. Walijitokeza wengi kumsikiliza, alipoanza kuzungumza wengi walianza kuondoka kwa sababu hakuwa anazungumza lugha ambyo wanakijiji walitaka kuisikia.

Ni vigumu kufikiri utashinda kwa sababu tu eti kila ukisimama unasema mabaya ya mshindani wako. Wapo wengi wanaotaka kusikia utafanya nini wakati wapo wengi wasioona ubaya wa mshindani wako.
 
Anapungukiwa lugha ya ushawishi kwa wapiga kura wasio wafuasi wa chama chake. Nilimuona kwenye kampeini uchaguzi uliopita akiwa kijijini. Walijitokeza wengi kumsikiliza, alipoanza kuzungumza wengi walianza kuondoka kwa sababu hakuwa anazungumza lugha ambyo wanakijiji walitaka kuisikia.

Ni vigumu kufikiri utashinda kwa sababu tu eti kila ukisimama unasema mabaya ya mshindani wako. Wapo wengi wanaotaka kusikia utafanya nini wakati wapo wengi wasioona ubaya wa mshindani wako.
Thubutu yako. Tundu Lissu ndiye alitia fora kwenye kampeni za 2020. Historia imeandikwa hivyo
 
Back
Top Bottom