Pre GE2025 Inaonekana Uamuzi wa Tundu Lissu kugombea tena unamuumiza kichwa Rais Samia

Pre GE2025 Inaonekana Uamuzi wa Tundu Lissu kugombea tena unamuumiza kichwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Kwa Tume ipi?
Au kumeshapatikana tume ya ukweli?
 
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Inaonekana mbowe amekompromize je atakubali tissue awe mgombea uraisi??
 
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Kwa siasa za Tanzania wagombea wa upinzani ambao walikuwa tishio kwa chama tawala ni Lowassa na Lyatonga Mrema.Lissu ni mwanasiasa tishio ila sio katika level ya kugombea urais.Mama kumtajataja sio lazima kwa sababu ya kumuogopa,inawezekana anamkubali sana pia,inawezekana pia anataka kumvuta or ni marafiki kumbuka siasa ni uadui kwa wafuasi wa chini na sio viongozi.
 
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Mama alimtuma Abdul na fuko la hela
 
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Huu ni mwaka wa kufosi na Mh Lissu analielewa hilo,nikikaa nikiunga dot na ule utabiri wa sheikh Hussein 🤔
 
Lisu anajulikana mitandao tu, wananchi wa kawaida uko vijijini nani anamjua unaonekana utembei wewe
Muulize huyo Samia na CCM wenzako, wali block hadi teitter isipstikane huko, walijaribu kuzuia kuanzia kutangaza taarifa za Tundu Lissu wakati wa Kampeni, hadi wasibandike hata mabango ya kumtangaza Tundu Lissu lakini mikutano yake japo ilitangazwa kwa watu kupeana taarifa kwa kuambiana kwa simu na messages, bado mikutani yote ilijaa kuliko mkutano wowote ule wa CCM ambayo washiriki walilipiwa kila kitu na sehemu nyingi mikitano ilipikuwa ikifanyika audience ilikuwa ni ileile.

Habari eti za vijijini hawamjui hizo ni habari za miaka ya 90 huko na pia ni kuwadharau watanzania. Pia ni kukiri kwamba serikali haijafanya chochote katika kuiunganisha nchi na wanamchi ndiyo maana kuna wananchi wapo gizani hawafahamu lolote kuhusu yanayoendelea nchini.
 
Hivi mnajua kwamba Mwakani 2025 Mgombea wa CCM atakuwa ni Samia Suluhu Hassan wakati Mgombea mwenza wake atakuwa Tundu A. Lissu

Jiandaeni Kwa hiyo Surprise labda Tundu akatae, ila Wazee wameshatumwa kuanza kumshawishi
Mhhhh!
Kama ataridhia hiyo Proposal, tujiandae kumuona Lissu akiwa Makamu wa Rais Mwakani.
Kwa maono yako,wewe unasemaje kwenye hili kwa mfano ungekua mshauri wa Lissu?tunaomba maoni yako tafadhali
Kama ataridhia hiyo Proposal, tujiandae kumuona Lissu akiwa Makamu wa Rais Mwakani.
 
Lisu anajulikana mitandao tu, wananchi wa kawaida uko vijijini nani anamjua unaonekana utembei wewe
Mwenye makasiliko,ndo anaeona Samia ana ubavu.ukizaka kimtaka ambatanisha na vyombo vya Dola.

Picha Kila Kona machawa,mazwazwa yamejazana cvm
 
Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.

Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.

Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.

Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.

Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.

Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.

Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.

Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Lazima aumie kichwa sababu anafahamu WATANGANYIKA watapiga kura KITANGANYIKA.

Ni wapinzani wajipange ikiwezekana wawe na mgombea mmoja.
 
Kiongozi dhaifu wa chama tawala angetamani ipitishwe fomu Moja pekee na asiwepo Mpinzani yeyote ndani na nje ya chama wa kugombea nafasi ya juu kuliko zote,

Lakini Hilo pia halitawezekana.
Duuh basi ana hali ngumu
 
Back
Top Bottom