Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #81
Wanamakasiriko ya Bure, Rais mwenyewe mamtambua kama Simba.Naona chawa wa Samia leo wamecharuka kweli humu kumpiga mawe Tundu Lissu, nawaona deblabant ,Lucas Mwashambwa,Tlaatlaah,Shotocan,Mkunazi Njiwa walivyokomaa leo kuandika mashudu kuhusu Lissu.
HaaaSasa huko mashenzini kwenu kuna wapiga kura wangapi?
Simba wa TanganyikaLissu ndio mdudu gani hiyo?
Hatari sanaHuwa nashindwa kuelewa ni vipi ccm huwa wanaogopa hasa kwenye urais wakat wanajua watz wengi ni wajinga,hakuna tume huru,dola lote mpaka wazee wa mabaka mabaka wote wako upande wao bado wana backup kubwa ya walimu wasimamiz wa uchaguzi na wakurugenz kila wilaya
Endelea na Ushabiki wako.Ukiweka ushabiki pembeni utaelewa kwa sasa upinzani hawana mgombea tishio.
Wenzio huko wako wanasumbuliwa na "Tundulissuphobia syndromes", hawalali wakihemea juu kwa juu, halafu wewe unajitia hamnazo, na vijimsemo rojorojo kama huu......Tundu Lisu Hana ubavu wa kupambana na samia
Mtazamo wako unatokana na takwimu sahihi au hisia zako tu?.ukiacha simba na yanga,kanisa katoliki kwa wafuasi wengi ccm inafata,chama cheni icho ni cha mitandaoni na vijiweni tu
Alimtikisa dhalim hadi dhalim akaamua kufa licha ya kupewa ushindi wa mchongoLissu kama alimtikisa yule, sembuse huyu
kuna uchaguzi wenu mlishindwa hata kuwanunulia chai wasimamizi wenu wanashinda na njaa tuu
changamoto ya chama chake mfano uku kwetu kila uchaguzi kuna sehemu hata wasimamizi wa uchaguzi hawana
kwa taarifa yako tundublisdi atahamia ccm mwaka 2025Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.
Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.
Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.
Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.
Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.
Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.
Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.
Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Leo chawa wote wa Samia wameamkia kuanzisha tungo za kumchafua Tundu Lissu, wanamgwaya vibaya mno.Kama unaifahamu psychology kama mimi basi utaungaba na mimi kwamba Tundu Lissu anamtesa sana Dr Samia.
Huku mmoja akiwa ni Rais na amwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na mwingine akiwa ni Mgombea Mtarajiwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Demokrasia na maendeleo.
Mwaka 2015 hadi 2020 wakati wa Dr Magufuli (R.I.P) akiwa Rais alimaliza kipindi chake huku hajawahi kulitaja Jina la Tundu Lissu wazi wazi kutokana na jinsi Simba alivyokuwa anaogopwa na mtawala huyo.
Alikuwa anaweza kumtaja kwa kutumia pronowns au Adverb lakini sio kumsema kwama yule Mwanasheria Nguli Tundu Lissu.
Hii ilikuwa ni aina nyingine ya mateso na mahangaiko kisaikolojia.
Soma Pia:
Utani kati ya Tundu Lissu (Simba) na Dr. Samia si wa leo kwani wamefanya kazi moja katika ofisi moja kwenye shirika la kimataifa linalishughulika na Ulinzi wa Mazingira na hali ya hewa duniani. Hivyo hakuna wa kushangaa wakitupiana vimaneno vya utani.
Imekuwa kawaida sasa kila alipo Dr Samia katika shughuli zake lazima amtaje Tundu Lissu. Ni aina ya hofu na wasi wasi.
Mh. Tundu Lissu kaza kamba endelea na nia yako ya kugombea Urais huu ni Mwaka wa Kuforce utatoboa tu.
Hahaha wanahangaika tu, hawatamweza Simba wa TanganyikaLeo chawa wote wa Samia wameamkia kuanzisha tungo za kumchafua Tundu Lissu, wanamgwaya vibaya mno.
Sawa kama atahamia na Kuwa Rais kuna shida gani?kwa taarifa yako tundublisdi atahamia ccm mwaka 2025
Hata Somalilanda hawaweki mawakala na hakuna Polisi......msimamiza kazi yake anapeleka makaratasi na maboksi jioni anakuja kuyakusanya tu...kwenye nchi zilizoendelea uchaguzi unaaminika kiasi kwamba hakuna haya wagombea kuweka mawakala, wala uwepo wa maaskari ktk vituo vya kupigia kura.
..Watanzania inabidi tujiulize mawakala wa vyama ni wa kazi gani? Kwanini uchaguzi unakuwa ni zoezi la kutokuaminiana? Vipi tukiwa na wagombea binafsi na wenyewe tutawataka waweke mawakala kila kituo?
100% perfectKama ni Fair game , Samia hana ubavu. Hata JPM hakuwa na ubavu. Tambua kitu kimoja, tukiweka electronic voting kama ile ya USA, saa nne asubuhi siku ya uchaguzi Rais Tundu anatangazwa.
TrueHakuna rational mind anaeipigia kura CCM. Lowasa tu alishinda uchaguzi pamoja na Kampeni zake za mchongo tena akipambana na Simba JPM , ndio umpambanishe samia na Tundu Antipas Lisu . Ni matusi makubwa Tundu kulinganishwa na Samia , Tundu lieu ni very smart guy , honesty and msomi mzuri asiyekuwa na elimu ya kuunga, he is ahead of his time
Wanaoamini kwamba Dr Samia anaweza kushinda kirahisi wanajidanganya.Lissu kama alimtikisa yule, sembuse huyu