Inapendeza sana kwa waliokuwa waigizaji wanapokutana wakiwa watumishi kanisani

Wito walikuwa nao wautumishi au wameitwa na maokoto kwa kondooošŸ¤”
Wito wameupata na wanatumika.

Maokoto huwa hawayapati kwa kuiba hela za watu bali mtu hutoa sadaka kwa hiari yake mwenyewe.
 
Sawa wachume sadaka vizuri tu kama wa bull dozer
 
Sema tu huyaelewi maandiko tafuta ufafanuzi neno so gumu kwa mtu ambaye anafuatilia kwa kina kabisaa na sio juujuu tu kaa kazeti
Nakukataza na ninakukemea.Usifuatilie sana maandiko.Utakuwa chizi.Ishi kawaida tu kadiri ya UPENDO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…