Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haikuwa mpango wa Mungu iwe hivi, ila ni uchu wa binadamu tu.Inapotokea umemzidi umri mwenza na mama yake pia unampa salamu gani?
Bonjour, bonjour, comasavor, saver bien.Rais wa ufaransa anampa salamu gani mkewe na mama mkwe wake je?
Hakupaswa kuwa hivyo lakini inatokea, umezaliwa 1978, mwenza alizaliwa 1998 na mama mkwe alizaliwa 1980Haikuwa mpango wa Mungu iwe hivi, ila ni uchu wa binadamu tu.
Hapa ndipo umuhimu wa salamu za kilugha au za kidini unapokuja.
Asalaam Aleykum
Bwana asifiwe
Tumsifu yesu kristu
Shimboni maye
Good morning my in-law
Kwa mifano hiyo michache ndio ujuwe kiswahili ni lugha ya majungu tu, Mama Samia alikuwa sahihi kuhutubia kwa kingereza kule UN. [emoji1][emoji1]
jaman ndo ukaona kwetu chamanzi pawe pa mfanoLakini jamaa ametisha sana ila ki Ulaya Ulaya kila mtu anajali maisha yake. Huku Chamanzi wangenyoshewa vidole mpaka na watoto.