Pre GE2025 Inasemekana baadhi ya Maaskofu wachukizwa na Padre Kitima kufanya Vikao vya Siri na CHADEMA

Pre GE2025 Inasemekana baadhi ya Maaskofu wachukizwa na Padre Kitima kufanya Vikao vya Siri na CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
CCM ni shetani
 
katibu mkuu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania, kwa heshima anafaa kuwajibika mara moja.

Ni wazi huyo kiongozi amelichafua baraza la maaskofu katoliki Tanzania, amewadhalilisha sana maaskofu na amelitia doa kanisa katoliki kwa kuingilia siasa za vyama na kuingiza ukabila kwenye siasa za Tanzania hususani chadema.

Kama yeye na Lisu ni wa kabila moja na kutoka katika kijiji kimoja, inalihusu nini Baraza la maaskofu katoliki Tanzania na kanisa katoliki kwa ujumla?🐒
jamaa jinga sana wewe kuna watu mulitakiwa kuwa matyako
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Ni wapi hao,au unaa wa wanachukua chako mapema,kumhami mwamba tuzamishe.
 
katibu mkuu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania, kwa heshima anafaa kuwajibika mara moja.

Ni wazi huyo kiongozi amelichafua baraza la maaskofu katoliki Tanzania, amewadhalilisha sana maaskofu na amelitia doa kanisa katoliki kwa kuingilia siasa za vyama na kuingiza ukabila kwenye siasa za Tanzania hususani chadema.

Kama yeye na Lisu ni wa kabila moja na kutoka katika kijiji kimoja, inalihusu nini Baraza la maaskofu katoliki Tanzania na kanisa katoliki kwa ujumla?🐒
MBONA HAKUNA SHIDA.
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Juzi Tundu Lisu aliwaeleza wanahabari kuwa ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa Katika kikao Cha siri KILICHOLENGA KUWASULUHISHA "

Watu wakigombana na mtu akawasuluhisha Kuna tatizo???

Padre ana mipaka ya kisuluhisha watu??
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Papa wao amewaambia wawe.busy na imani wao wako busy na siasa

Kitima anamsaidia wa nyumbani kwao
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amefanya vizuri sana kuwakalia kimya
 
Padri Kitima kajivua nguo. Ila maaskofu kuchachamaa kwenye group la watsapp nimeshangaa 😄. Kwa hadhi zao kama kuna ubaya nadhani wana namna yao ya kushughulikia hilo na sio watsapp group. Umewashusha hadhi sana.
Mleta Mada Alete Ushahidi Wa Hizo Chati Za Wasapu Tuone Ni Kwa Namna Gani Hao Maaskofu Walivyochachamaa Na Si Kutuchuza Kwa Stori Za Kwenye Vijiwe Vya Alkasusu
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kumbe ni baadhi tu?
 
MBONA HAKUNA SHIDA.

"Juzi Tundu Lisu aliwaeleza wanahabari kuwa ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa Katika kikao Cha siri KILICHOLENGA KUWASULUHISHA "

Watu wakigombana na mtu akawasuluhisha Kuna tatizo???

Padre ana mipaka ya kisuluhisha watu??
alikua anasulihisha ndoa ama nini?

na aliokua akiwasuluhisha ni waamini wa jumuiya au parokia gani? Na Je, hiarakia ya kanisa inasemaje?

na alitumwa na baraza la maaskofu au alifanya kwa utashi wake binafsi au upendeleo wa kikabila na kwasababu yeye ni mwanachadema na mfuasi wa Tundu Lisu mtu wa kabila lake na wametoka kijiji kimoja kule singinda?🐒
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
HAwa ni wanafik na mungu anawaumbua taratibu, tuliwaambia wasajili tu chama cha siasa ,maana shida yao ni ulafi
 
Papa wao amewaambia wawe.busy na imani wao wako busy na siasa

Kitima anamsaidia wa nyumbani kwao
ni muhimu waamini wakaanza kumpuuza kwasababu ataaendelea kuwahubiria mambo ya chadema na kumpambania mgombea uongozi wa kabila lake hiku akitumia nafasi aliyonayo kufanya hivyo,

baraza la maaskofu katoliki Tanzania na kanisa linafaa kumshughulikia mamluki huyu wa chadema aliejibanza ndani ya kanisa katoliki kwa muda mrefu, vinginevyo kanisa litagawanyika na kuhatarisha amani Tanzania 🐒
 
jamaa jinga sana wewe kuna watu mulitakiwa kuwa matyako
muerevu kumbe makasiriko na mihemko yanini kama huna mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani?

kaa kimya epuka matusi ambayo ni nonsense kwenye mijadala ya kistaarabu gentleman 🐒
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Nyie watu mnafikiri kitima anafanya hayo Kwa utashi binafsi au maelekezo aliyopewa na wenye mamlaka makubwa zaidi ndani ya kanisa!!?
Hai ndio walisimamia Transition ya Tanganyika kuwa Tanzania kupitia kijana wao mwaminifu Burito kambarage nyerere!!
 
Back
Top Bottom