Pre GE2025 Inasemekana baadhi ya Maaskofu wachukizwa na Padre Kitima kufanya Vikao vya Siri na CHADEMA

Pre GE2025 Inasemekana baadhi ya Maaskofu wachukizwa na Padre Kitima kufanya Vikao vya Siri na CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
katibu mkuu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania, kwa heshima anafaa kuwajibika mara moja.

Ni wazi huyo kiongozi amelichafua baraza la maaskofu katoliki Tanzania, amewadhalilisha sana maaskofu na amelitia doa kanisa katoliki kwa kuingilia siasa za vyama na kuingiza ukabila kwenye siasa za Tanzania hususani chadema.

Kama yeye na Lisu ni wa kabila moja na kutoka katika kijiji kimoja, inalihusu nini Baraza la maaskofu katoliki Tanzania na kanisa katoliki kwa ujumla?🐒
Pumba tupu
 
Kanisa katoriki ni taasisi inayojiendesha kwa misingi na taratibu zake na weledi wa hali ya juu kwahiyo ilo jambo si la kweli na hutalisikia kwenye masiko au maandiko ya mitandao au viongozi wa kiroho wakikisema kama zilivyo madhehebu mengine
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Screenshot_20241129-140243.jpg
Mwalimu wa hili somo ni CCM lakini kama lengo lilikuwa ni 'kuwasiluhisha' na wote walimuamini kwenye hilo I don't see anything wrong with that, kwani CCM wao huwatumia kama influencers kwenye vikao vyao.
Kanisa lina haki ya kufanya uchunguzi wake kuona kama taratibu za kanisa zimekuwa ama la, Catholic ukiachilia mbali madhaifu ya baadhi ya mapadre/maaskofu lakini kama institution huwa wamenyooka sana na ni wasomi wanaoamini katika sheria na taratibu za kanisa.
Kuhusu kusemana au kumsema padre/askofu katika groups za WhatsApp hilo ni jambo lisilowezekana katika institution yao, those dudes have principals huo upuuzi wa kusemana/kuchambana on WhatsApp groups that shit can never happen.
 
Kosa ni lipi hapo Sasa. Kama balozi wa nyumba Kumi, huwa anapatanisha mpaka ndoa,, sembuse kiongozi wa dini kusaidia wanasiasa wawili kupatana? Tena padre mwenyewe, na wajihi kama wa Dr Kitima?

Kushauliwa au kushauliana ni tendo la kawaida kabisa ambalo tunalifanya Kila wakati. Hivi kama angekutana na watu wa CCM kuwapatanisha, kungekuwa na haya makelele?

Tujifunze kupunguza kuingilia faragha za watu. Watu wanakutana sana kwa mambo mengi, mazuri na mabaya..Au kwa sababu huwa hatuwaoni? Sembuse wanasiasa kushauliwa na padre?

Kwani hatujui kwamba watumishi wa Mungu huwa ni reconciliatory figures??
 
Uongo Mtupu.
Unamjua Fr. Dr. Kitima vizuri weye? Mimi namjua na najua hata sasabu za kunyimwa Uaskofu. Na je, unajua Fr. Dr. Kitima alikuwa "rafiki mzuri" wa Mwamba Magufuli kabla Mwamba hajawa Rais? Je, unajua kwanini Mwamba Magufuli baadae "alivunja urafiki" na Fr. Dr. Kitima?
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Uongo,maaskofu wa Katoliki na mapdre ni wasomi wa kiwango cha juu hawezi kumjia juu Padre aliyetimiza wito wake wa kitume kupatanisha ndugu waliokuwa wanagombana.
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Acha uongo habari za TEC sio rahisi kuzipata kilaza kama wewe. Ile ni taasisi imara na kongwe
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Acha uoumbavu maaskofu hawana group la whatsapp
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wamfukuze kama walivyomfukuza Dr. SLaa ili akakitumikie vizuri Chama chake cha Chagadomo!🤣🤣
 
Acha uongo habari za TEC sio rahisi kuzipata kilaza kama wewe. Ile ni taasisi imara na kongwe
Wewe ndio huwezi kuzipata! Kwani hujui kuwa Maaskofu wengine ni ndugu zetu. Pia wengine tumebobea kwenye udukuzi wa mitandao🤣🤣
 
SOURCE?????

Whasap Group Sio Official platform . Ipo wapi Barua ya TEC au What is your source ya hii taarifa ?

Nashauri Mods News kama hizi ziwe zinaambatana na Source otherwise mta mislead Jamii

Nimeona pia Wasafi wametumika ku mislead jamii

JF ni chombo cha heshima vitu kama hivi viwe na verified source
Hutaki kuamini? Subiri atakapofukuzwa kama Dr. Slaa
 
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kwanini badala ya kusema viongoi wa CCM wewe unaandika Maaskofu wa Katoliki? Hujui hivyo vikao vya upatanishi ni sehemu ya kazi ya kichungaji? Ruhusa gani anayohitaji kutimiza majujumu yake? Jifunze kudanganya ili ueleweke
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Wakuu

Inaelezwa kuwa baadhi ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki hapa nchini wamemvaa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima, na kumtaka kujitokeza kufafanua ni kwanini amekua akiendesha vikao vya siri vya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bila kuutarifu uongozi wa kanisa hilo.
View attachment 3198009
Maaskofu hao wamehoji ni nani aliyemtuma Padri Kitima kuitisha mikutano ya kujadili nani awe mgombea uenyekiti wa Chadema Taifa na nani awe mgombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

"Kiukweli Maaskofu wamechachamaa katika kundi la WhatsApp, na wengine wanaandika SMS za kumuuliza jambo hili ila Padri Kitima amekaa kimya tu bila kujibu. Ameulizwa aliitisha vikao kama Katibu wa Baraza la Maaskofu au kama kada wa CHADEMA?", kimeeleza chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya TEC.

Pia, Soma: Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosea Serikali
View attachment 3198011
Itakumbukwa kuwa juzi Tundu Lissu aliwaeleza wanahabari kuwa, ni kweli yeye na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe waliitwa katika kikao cha siri kilicholenga kuwasuluhisha na kujadili jinsi viongozi hao nafasi ya uenyekiti na nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania.

Kupata matukio mengine kuelekea Uchaguzi 2025: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Inasemekana!
 
Back
Top Bottom