Pre GE2025 Inasemekana baadhi ya Maaskofu wachukizwa na Padre Kitima kufanya Vikao vya Siri na CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe ndio huwezi kuzipata! Kwani hujui kuwa Maaskofu wengine ni ndugu zetu. Pia wengine tumebobea kwenye udukuzi wa mitandao🤣🤣
Labda kama wewe umedukuliwa na wazanzibari na popo bawa
 
Gentleman,
jikite kwenye hoja mahususi mezani kuliko kubabaika na mihemko na makasiriko na kutaja vitu ulivyo navyo mwenyewe,
ama ndiyo ile nyani haoni kundule 🐒
Ni lugha ya picha nadhani shuleni wewe ulienda Kwa sababu ilikua ni kawaida! Huyo ni kalio ambalo huwekwa sehemu yoyote bila idhini yake. Kwani hukusoma ilivyoandikwa? :
Mathayo 5:9
Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.

Na andiko jingine likasema:
Yakobo 3:16
Maana hapo palipo wivu na ugomvi ndipo palipo machafuko, na kila tendo baya.
Huyo afaa kufananishwa na hayawani mana hata Yesu mwenyewe alimwita Herod Mbweha sababu ya upumbavu ulioshinda huu:
Luka 13:32
Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha, Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu nakamilika.
 
Gentleman,
huyo ni mpatanishi au muendekeza udini na kabila?

mpatanishi hawezi kua mnafiki kama huyo katibu mkuu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania, anaeipenyeza chadema ndani ya kanisa katoliki Tanzania.

anawapatanishaje watu waliosema hadharani kwamba hawana tofauti wala uhasama kati yao, kama sio kimbelembele tu?🐒
 
Reactions: UCD
Naye anawakati wa kuwa Kitima kama mpigakura huru na kuna wakati ni askofu ndani ya kanisa, huyu wa KKKT yeye ni CCM namba moja muda wote.
 
"muendekeza udini na kabila?" Lissu mkatoliki, Mbowe mluteri. Lissu msingida na Mbowe mkilimanjaro, sasa udini na ukabila uko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…