Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

Naona umejibu ' upuuzi ' mwingi kama ambavyo nilikuhisi yawezekana ukawa ni ' mpuuzi '. Bado nasisitiza Kwako kwamba ukitaka kuyaelewa maandiko yangu humu JamiiForums jitahidi sana hata uwezo wako wa Kufikiri / Akili uwe ni wa Kiwango cha juu kidogo vinginevyo utakuwa hunielewi halafu unakuja Kwangu na aina hii hii ya ' upuuzi ' wako.

Na kwa kukusaidia tu kuhusu hao wapiga Gitaa la Solo maarufu huko nchini Kongo huwezi ukamweka huyo Diblo Dibala wako na tunaojua vilivyo mziki wa Kikongo tokea miaka hiyo ya mwanzoni mwa 80 wapiga Magitaa mahiri wa Bendi za Kongo ni wawili tu Veteran Le Roi Dilu au Dilu Dilumona na mwenzake Beniko. Hata huyo Diblo Dibala wako japo nyie Vijana wa leo mnajifanya kumjua na kumsifia lakini Walimu wake ni hao na anawaheshimu hadi Kesho.

Diblo Dibala ni mpiga Solo mahiri wa Kizazi cha Pili cha Muziki wa Kongo akiwa na Wenzake wanne akina Dally Kimoko ambaye Wakongo wengi hupenda kumuita ' Gitare Ezanga Likwanza ', Burkinafaso Mbokaliya, Cain Madoka na Alain Makaba Prense ila wa Kizazi cha Kwanza ni hao wawili Le Roi Dilu au Dilu Dilumona na wapiga Solo mahiri wa Kizazi hiki cha Tatu Kongo ni hawa Watatu Mitre Ficarre Mwamba anapiga na Wenge BCBG ya JB Mpiana kisha Flam Mwenie Kapaya anapiga na Wenge Maison Mere ya Werrason na Felly Tyson anapiga na Quarter Latin Band yake Koffi Olomide.

Akhsante.
Kwa maelezo yako mi naona jamaa bas yuko sahihi km we ulitaja kizaz cha pili cha hao magwiji nae kataj kizaz icho icho tatizo liko wapi??alafu akujibu kwa nia mbaya sema sijui kwanini umemind sana mkuu mambo mengine nikueleweshan tu kwa lugha nzuri!!
 
Kwa maelezo yako mi naona jamaa bas yuko sahihi km we ulitaja kizaz cha pili cha hao magwiji nae kataj kizaz icho icho tatizo liko wapi??alafu akujibu kwa nia mbaya sema sijui kwanini umemind sana mkuu mambo mengine nikueleweshan tu kwa lugha nzuri!!

Kwani kumuita Mtu ' mpuuzi ' ni lugha mbaya? Basi ngoja nibadilishe na nimuite ' hopeless ' je umeridhika sasa?
 
Lifungue usome utajua tatizo lake

Huwa sianzishi uzi ambao una matatizo au usio sahihi ila yawezekana ni ' akili ' zako ndizo zina matatizo na pengine yakupasa uwahi mapema Milembe Hospital ukapate msaada wa haraka wa Tiba kabla hali yako haijawa mbaya na kuzidi kuonekana ni wa ' hovyo hovyo ' mbele yetu tuliobarikiwa ' upeo ' wa Kutukuka na Mwenyezi Mungu.
 
Huwa sianzishi uzi ambao una matatizo au usio sahihi ila yawezekana ni ' akili ' zako ndizo zina matatizo na pengine yakupasa uwahi mapema Milembe Hospital ukapate msaada wa haraka wa Tiba kabla hali yako haijawa mbaya na kuzidi kuonekana ni wa ' hovyo hovyo ' mbele yetu tuliobarikiwa ' upeo ' wa Kutukuka na Mwenyezi Mungu.
Wewe una vinasaba vya ki lemutuz unavyopenda kujisifu utakuwa unakanyagwa
 
_20180112_103824.JPG
 
Back
Top Bottom