Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Asikatishe dozi hiyo ndio mkombozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye list hiyo pia yumo Mr Nice,choki,na yule mama mwenye mabendi yule!Nikumbushe mdau
Yupo amekua mwanamuziki siku hizi katoa nyimbo mbili mmoja unaitwa Nishawazima mwingine jina limenitoka.Hivi Lilian internet yupo?
Umechanganya "Aisha" na "Asha" ,Aisha(M.A.P) ndio yupo kwenye list na Asha ndio Mwenye Band.Kwenye list hiyo pia yumo Mr Nice,choki,na yule mama mwenye mabendi yule!
Fumbo zito sana hiliSikiliza Magitaa yote ya Kikongo ila siyo la ' Fundi ' Dally Kimoko.
Ooh kumbe, nae nmemuona katika listYupo amekua mwanamuziki siku hizi katoa nyimbo mbili mmoja unaitwa Nishawazima mwingine jina limenitoka.
Duh basi grid ya taifa si mchezo, katika mishemishe nimeonana naye sana mwaka jana. Ana mwili wake mzuri tu mumewe ana kitambi si mchezoOoh kumbe, nae nmemuona katika list
Sioni sababu ya wewe kujivunia kiasi hicho kuna waliokuzidi kila kitu lakini hawana mikato kama yako..Huwa sianzishi uzi ambao una matatizo au usio sahihi ila yawezekana ni ' akili ' zako ndizo zina matatizo na pengine yakupasa uwahi mapema Milembe Hospital ukapate msaada wa haraka wa Tiba kabla hali yako haijawa mbaya na kuzidi kuonekana ni wa ' hovyo hovyo ' mbele yetu tuliobarikiwa ' upeo ' wa Kutukuka na Mwenyezi Mungu.
Kama yupo poa inapendezaDuh basi grid ya taifa si mchezo, katika mishemishe nimeonana naye sana mwaka jana. Ana mwili wake mzuri tu mumewe ana kitambi si mchezo
Nimecheka sana Leo...............Mkuu uko sahihi sana kwani humu ndani kuna baadhi ya watu Wapuuzi sana................Mwanzo nilidhani Umevurugwa................baadae nikaona kumbe uko MUKIDE.................Huwa sianzishi uzi ambao una matatizo au usio sahihi ila yawezekana ni ' akili ' zako ndizo zina matatizo na pengine yakupasa uwahi mapema Milembe Hospital ukapate msaada wa haraka wa Tiba kabla hali yako haijawa mbaya na kuzidi kuonekana ni wa ' hovyo hovyo ' mbele yetu tuliobarikiwa ' upeo ' wa Kutukuka na Mwenyezi Mungu.