Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

mshenzi sana huyo uvccm dhambi ya kumkebehi lowassa na kuwarubuni watanzania kuichagua ccm ambayo imeleta mateso makubw kwa watanzania acha imtafune
ni kweli ila hujafa hujaumbika ndugu
tumuonee huruma sasa kama binadamu mwenzetu
hata nape alitukana sana lakini leo yameisha, usishngae kesho lisu na magufuli ukawakuta meza moja
kuna maisha baada ya siasa
 
wastara,Steve wote hao walisaidia ccm kuingia madarakani huku wakimdhihaki mzee lowassa wakiiga alivyokua anatetemeka na msemo wao ule et 'ana te anatetemeka' huku na wao wakiigiza kutetemeka yeye na wema sepetu,maskini hakujua shida haina hodi na uzma ni wa Mungu.anyway apumzike kwa amani,nashauri lowassa aende kumsalimia
 
Jamaa ana H.I V huyo siawe muwazi tu .
huyo alikuwaga nirafiki wakaribu mnoo na marehemu max nawalipokuwa wnapita wanapajua wenyew...maana max aliondolewa na ngwengwe ..
sasa nahisi ARV zimeshaanza kudunda kwake sasa anaanza kumuona mtoa roho
duhh ukweli mtupu
 
Chama kiko wapi au kimemtelekeza kama Wastara? Vijana ndani ya chama chetu hutumika kama mpira wa condom pale penye umuhimu na hamu tu, wenye chama chao wapo na wataendelea kuwepo ila sio matandiko kama wasanii au wasakatonge (bongo fleva), hawa ni kama kapeti tu watu wanatandika wanapita maisha yanasonga.
 
Duh!!! Kipindi kile sisi wa mikoani hatukujua ugonjwa uliomuua
hahaa ilikuwa zamani kaisi taarifa zilikuwa hazisambai vyema tofauti na sasa ..siwajua tena masocial network hayakuwepo..
kama sijasahau marehemu alikuwa anatoka na dancer mmoja hivi wakike ambaye alikiwa maarufu. sana wakati ule jina lake limenitokA na huyo dancer nae alishakufa kitambo tu
 
Back
Top Bottom