Tetesi: Inasemekana hii ndiyo sababu ya uhakika ya ajali ya ndege ya Precision Air

Tetesi: Inasemekana hii ndiyo sababu ya uhakika ya ajali ya ndege ya Precision Air

Nobunaga

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2019
Posts
1,205
Reaction score
5,121
Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:

"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri. Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.

Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.

Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.

Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.

Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."

Screenshot_2022-11-06-21-39-38-657-edit_com.twitter.android.jpg

IMG-20221106-WA0074.jpg
 
It makes sense, maana hata kama hali ya hewa ilikuwa mbovu basi ajali ingetokea uelekeo inapotuaga ndege, ila ndege imepata ajali kwenye uelekeo tofauti kabisa na inavyotakiwa kutua.
 
Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:

"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri.Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.

Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.

Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.

Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.

Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."


View attachment 2408808
View attachment 2408809

Stori yako chai tupu...

Moja ya manusura kasimulia sababu waliyoambiwa na rubani, na pia jinsi walivyotoka salama...
 
It makes sense, maana hata kama hali ya hewa ilikuwa mbovu basi ajali ingetokea uelekeo inapotuaga ndege, ila ndege imepata ajali kwenye uelekeo tofauti kabisa na inavyotakiwa kutua.

Kwani wewe unavyofahamu kwa ile Airport ya Bukoba ndege ikianza kutua, huwa inatokea upande upi kuelekea runway?
 
Stori yako chai tupu...

Moja ya manusura kasimulia sababu waliyoambiwa na rubani, na pia jinsi walivyotoka salama...
Sasa si useme amesemaje, unajua kuna baadhi ya wabongo vichwani km wamebeba maboga tu, wewe unasema chai haya eleza hayo maziwa uliyopewa, huna? Unatafuta ligi na wewe uonekane umesema, so stupid
 
Back
Top Bottom