Tetesi: Inasemekana hii ndiyo sababu ya uhakika ya ajali ya ndege ya Precision Air

Tetesi: Inasemekana hii ndiyo sababu ya uhakika ya ajali ya ndege ya Precision Air

Sasa si useme amesemaje, unajua kuna baadhi ya wabongo vichwani km wamebeba maboga tu, wewe unasema chai haya eleza hayo maziwa uliyopewa, huna? Unatafuta ligi na wewe uonekane umesema, so stupid

Kuna video clip ipo kwenye ule uzi wa breaking news, nita kutag kwenye hiyo post...

Sasa ligi ya nini kwenye ajali mzee baba, clip ipo viral tayari na hata kwenye groups za whatsapp inatembea...
 
Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:

"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri.Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.

Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.

Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.

Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.

Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."


View attachment 2408808
View attachment 2408809
Precision air wana case. Inakuwaje ndege iishiwe mafuta???
 
Kuna video clip ipo kwenye ule uzi wa breaking news, nita kutag kwenye hiyo post...

Sasa ligi ya nini kwenye ajali mzee baba, clip ipo viral tayari na hata kwenye groups za whatsapp inatembea...
Link hio hapo


Lete video clip acha kurukaruka
 
Aise sijui kwanini nilizaliwa mwafrica
Ila ya Mungu mengi
 
Link hio hapo


Lete video clip acha kurukaruka

We jamaa una kiherehere

Nimekumention kwenye uzi husika mahali clip ilipo...
 
Acha uchoko ukitaka matusi nitafurumushia hadi JF uione chungu, narudia tena wewe shoga Malaya acha uchoko kafirwe mbele uko

Kati ya vitu huwa havinisumbui ni kilaza mmoja kujificha nyuma ya keyboard na kuandika matusi...

Umetaka kujua video clip ilipo na nimekutag, sasa sijui wataka kupapaswa uwemba...
 
Kati ya vitu huwa havisumbui ni kilaza mmoja kujificha nyuma ya keyboard kuandika matusi...

Umetaka kujua video clip ilipo na nimekutag, sasa sijui wataka kupapaswa uwemba...

Huyu alieandika hivi ni kilaza au kiboga?👇Maana hili ni tusi tena ni tusi kubwa tu,
We jamaa una kiherehere kama changu wa Kimboka...

Nimekumention kwenye uzi husika mahali clip ilipo...
 
Huyu alieandika hivi ni kilaza au kiboga?👇Maana hili ni tusi tena ni tusi kubwa tu,

Soma mtiririko post hadi post mkuu utaelewa, anzia mahali Lusungo kauliza, akaja Genta then akaja huyo jamaa...
 
Watu8 si umeulizwa Swali Jibu lako liko wapi?

Nimeweka link ya uzi, na post # ambayo ukienda kwenye uzi huo utaona clip...

Sababu clip ipo kwenye uzi mwingine na kifaa natumia hapa nimeshindwa kuihamishia ile clip hapa, lakini waliotaka kujua ilipo nimefanya uungwana wa kuwa tag kwenye mahali clip ipo...

Sasa mtu anataka uungwana gani zaidi ya huo mkuu, na tuanze kutamkiana maneno mazito juu clip ya ajali kubwa kama hii...
 
Soma mtiririko post hadi post mkuu utaelewa, anzia mahali Lusungo kauliza, akaja Genta then akaja huyo jamaa...
Wewe umemtukana ndio maana ame-react laiti km usingemtukana msingefika uko, sometimes jifunze kupotezea sio lazima hadi utukane, au unaweza kuniambia maana ya ....kama Malaya wa Kimboka.... ulikua unamaanisha nini km sio tusi si unajua anachofanywa Malaya wa Kimboka au haukijui?
 
Wewe umemtukana ndio maana ame-react laiti km usingemtukana msingefika uko, sometimes jifunze kupotezea sio lazima hadi utukane, au unaweza kuniambia maana ya ....kama Malaya wa Kimboka.... ulikua unamaanisha nini km sio tusi si unajua anachofanywa Malaya wa Kimboka au haukijui?

Tazama post ya kwanza aliyoniquote, soma maandishi aliyoyatumia...

Mbona Genta na Lusungo wameuliza swali hilo hilo na reaction yangu kwao haijawa na ukakasi? Umejiuliza hili swali?
 
Hivi ndivyo jinsi ajali ya ndege ya Precion Air ilivyotokea:

"Ndege ilikua ikiongozwa na ruban mmoja hivi anaitwa Rubanga mwingne jina lake sijalifahamu vizuri.Tatizo ililopata mpaka ndege ikaanguka ni matairi ya ndege kugoma kutoka na unaambiwa senior captain alitoa taarifa Tower kuhusu hilo tatizo ila wakachelewa kujibu, ikabidi ndege izunguuke angani kabla ya kutua ili wapate uvumbuzi wa tatizo.

Baada ya kuona kimya rubani akapiga tena simu Tower na kuwaambia nipeni muongozo maana mafuta yataisha nimezunguuka sana, Tower wakamjibu ipeleke ziwani timu ya uokozi haitachelewa kuja kuwaokoa.

Sasa wakati wa kuipeleka ziwani rubani akaigonga kwenye mwamba na mpaka ndege inazama Tower taarifa walikuwa nayo, Cabin Crew wawili ilibidi waruke nje na ndio wakapata msaada kwa wavuvi na hata hao abiria 23 wa mwanzo waliokolewa na wavuvi na mitumbwi ila sio Tower wala Jeshi la uokozi, yaani wamewaambia waipeleke ndege ziwani watakuja kuwaokoa halafu hawakuja na baada ya polisi kuja wakawafukuza wavuvi waliokuwa wanawaokoa watu.

Ona jinsi polisi walivyo wazembe wamefukuza wavuvi waliokuwa wanaokoa halafu wao wakakaa pembeni eti wanalinda mali za raia.

Kusema kweli this accident hakuna mtu aliyetakiwa kufa kama uokozi ungefanyika mapema."


View attachment 2408808
View attachment 2408809
Rubbish [emoji2781][emoji706] trash

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom