Tetesi: Inasemekana hii ndiyo sababu ya uhakika ya ajali ya ndege ya Precision Air

Imetua kawaida uwanjani au ziwani?? Tairi ziligusa run off??
 
Watz wote hamna akili , pimbi tu .Na mtaendelea kufa kama kumbikumbi kwa sababu vichwa vyenu ni maboksi tupu
 
Najiuliza hapa hivi kwa mfano kama matairi yamegoma kuchomoka je rubani angeweza kuwatangazia abiria wake kwamba "jamani ndege matairi yamegoma kuchomoka hivyo nasubiri maelekezo zaidi from control tower"??
 
Yaan ndege iishe mafuta kwa kuzunguka dk 30??? We jamaa
Hao huwa wanaweka wese kidogo sijui bajeti nashindwa kujua

Tulitua na ndege kama hiyo Tabora wakasema inaongeza mafuta, kwa hiyo wala usishangae kwa akili zetu
 
Ukimsikiliza yule nusura wa ajali, alivyokuwa akisimulia, kuna ukweli Fulani wa hili. Alisema, wakati wanazunguka Angani, Rubani mmoja alitoka katika chumba Cha Marubani, akaja huku kwa abiria, akamwita Air Hostes akawa anamnong'oneza kitu, Kisha akawa anachungulia nje ! Kuna uwezekano alikuwa anahakiki kama kweli, taili hazijatoka Kama Procedure zilivyo. Na yule nusura alisema Rubani alitua ziwani kwa makusudi Kabisa, kwani alikwenda ziwani kwa makusudi Kabisa, na kutua Kama yupo Airport,. Something was Long, ukweli utajulikana tu.
 
Mkuu huu utakuwa uwanja mwingine maana nimewahi kutua Kathmandu Airport haikuwa hivyo..
Hi sio Kathmandu Airport
Hii ni airport inayotumiwa na watalii wanaoenda kupanda Mlima Everest
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…