#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

Mnawatengenezea watu hofu,

Mtawapa pesa wakae ndani??

Au kwakua nyie mnampango wa kutumia Kodi zao Ili kununulia chanjo basi hamjali.
Ilanilazimu kupiga simu Kwa dactari hapo, Hii kitu ni upuuzi tu unsotengenezwa, na sasa tutahamushia mashambulizi kwa hao wanaotangaza hali zenye kuleta taharuki, Ili Mungu awalaani
 
Hatuwezi kumsujudu shetani haijalishi majina aliyokuja nayo. Mara COVID 19 mara DELTA VARIANT, n.k

Endeleen na ukaid wenu,jamaa yenu alisema hivyo hivyo kuwa tegemeo ni mungu,yuko wapi leo??

Kwani huko Vatican wanakodanja kila leo hawana Mungu??

Anyway,kufa wote tutakufa,mwenye masikio haambiwi sikia
 

Kama yeye anadhan chanjo ndiyo itamlinda yuko sahihi,kama naww unadhan Maombi ndo yatakulinda upo sahihi,usibeze mawazo ya mwenzako,kila mtu ana maisha yake,

Na unataka watu wajikinge vip na hiyo Covid 19??
 
Almost 2 weeks ndio nikakaa poa
Vipi baada ya kurecover kichwa kilikaa sawa
Maana baadhi ya walioupata nilikuwa nikiwasikia wanalalamika kichwa hakija kaa sawa kuna muda wanahisi kama kizunguzungu na kuona maruweruwe lakin baada ya kupita miezi 3 ile hali ikaisha
 
Oya mniamini

Hapa napofanyia kazi

Watu wanaondoka.

Jichunge, chunga familia yako.

Wazee wa miaka kuanzia 40+ na wenye UKIMWI, kisukari, magonjwa ya Moyo, Shinikizo la Damu, Magonjwa sugu ya mfumo wa upumuaji mnaondoka chap chap.
Miaka 40 nimzee kumbe!
 
La nne Mwanza
 
We bwege kweli. Nenda kajifungie peke yako.
 
Vipi baada ya kurecover kichwa kilikaa sawa
Maana baadhi ya walioupata nilikuwa nikiwasikia wanalalamika kichwa hakija kaa sawa kuna muda wanahisi kama kizunguzungu na kuona maruweruwe lakin baada ya kupita miezi 3 ile hali ikaisha
Mie kifua ndio kilinizingua ila kichwa freshi
 
Ndugu zangu hivi 'kwa mfano wewe mwenye hospitali ungeanzia wapi kusema tuna upungufu wa mitungi wakati ule, maana ingemaanisha kuna wagonjwa wa corona, na hapo ndo shida ingekuangukia, manake serikali haikutaka kusikia story hizo za corona maana hata Rais alishatangaza ugonjwa huo haupo/ umetokomezwa ..... yaani ilikuwa kazi kweli ,na ndipo kwa kuficha wakaja na jina la ' tatizo la ugonjwa wa upumuaji' .......... hahahahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…