simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Ameshauri serikali kupiga marufuku mikusanyiko.Tufanyeje sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshauri serikali kupiga marufuku mikusanyiko.Tufanyeje sasa?
Umegonga penyewe. Mtanzania hatajua madhara ya kitu mpanga aone kimemtokea yeye, mtu wa familia au jirani. Hii ni aina ya ubongo wa panya hii.Ila Tanzania masihara ni kubwa mno kuhusu Corona. Omba Tu Mungu isikupitie au kupitia wa karibu yako au ndugu ndiyo utajua machungu yake. Sitaki kukumbuka madhara ya hii Corona kwenye ukoo wetu na majirani kadhaa. Rest in Peace my people.
True Mkuu, yani ni kama anasherehekea kabisa.Ni kama unasherehekea hivi, unatia shaka
Kuwa wazi, wanaondoka kwenda wapi.......doh! kumbe sisi tulio na miaka 40 tayari ni wazee, ngoja nikaji lockdown.Oya mniamini
Hapa napofanyia kazi
Watu wanaondoka....
Mie imeshanigonga hio 3rd Wave now niko imara!Ila Tanzania masihara ni kubwa mno kuhusu Corona. Omba Tu Mungu isikupitie au kupitia wa karibu yako au ndugu ndiyo utajua machungu yake. Sitaki kukumbuka madhara ya hii Corona kwenye ukoo wetu na majirani kadhaa. Rest in Peace my people.
Inavyosemekana hili ni toleo la nne kati ya matoleo 24 yaani tunaenda na herufi za kigiriki sasa tulianza na Alpha tutamaliza na Omega.....ukinusurika hayo yote bila kuchanjwa basi wewe ni mwamba🤣👇🐒Hakuna cha DELTA VARIANT wala .DELTA FORCE 3
Mtuache jamani nyie kama mnanufaika na corona hamieni huko ilipo mkapige pesa...
Hata mii sikumbuki kama kuna kipindi dunia ilikuwa free from Covid tangu itue kwenye sayari hii 2019.Aliyekwambia covid imetua mwanza leo nani? tangu wiki tatu zilizopita kuna cases za watu wanaopata mafua na kupoteza uwezo wa kuhisi harufu, labda kama wewe ndo umeona jambo geni...
we r in the rait trakMie imeshanigonga hio 3rd Wave now niko imara!
Eh tusilete taharuki ndugu zangu😂we r in the rait trak
Duh! Miaka 40 ni wazee?🤣Oya mniamini
Hapa napofanyia kazi...
🤣Eh tusilete taharuki ndugu zangu😂
🤣Duh! Miaka 40 ni wazee?🤣