Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dorothy yupo Mubashara TBC anatuhimiza tuvae barakoa, kuosha mikono na kuepuka misongamano kama vile ndio kaigundua korona wiki iliyopita 🤣👇Watu wangehamasishwa kutumia zile Tiba zetu za Asili, Allah alizipa barka zake zikasaidia sana mara zote
Safari hii naona kina Doroth Gwajima hawaja kampeni kabisa
Vitoto vya chuo hivi, baba zao ndo wameanza kugonga 40 ndo maana vinawaona wazee.....🤣
Huyo atakuwa ana 23...sasa hiyo 40 anaiona mbali mno ha ha ha
Pfizer hatuwezi ipata inagharama kubwa sana kwenye kuisafirisha, sisi ni wa Astra.Kasema tulete chanjo ya pfizer!
Watu wajifukize na mvuke wa jotoridi kaliTufanyeje sasa?
Dorothy yupo Mubashara TBC anatuhimiza tuvae barakoa, kuosha mikono na kuepuka misongamano kama vile ndio kaigundua korona wiki iliyopita [emoji1787][emoji116]View attachment 1843830
🤣🤣🤣Vitoto vya chuo hivi, baba zao ndo wameanza kugonga 40 ndo maana vinawaona wazee.....
Tufanyeje sasa?
Kuna vifo vya:"Kama kufa tutakufa tu " jpm
Mbona anatushitua sisi "vijana" wa umri wa makamo, 40 bado kabisa hata UVCCM unajiunga🤣Duh! Miaka 40 ni wazee?🤣
Wananchi wanatishwaaaa ila wamega kutishika...Niliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.
Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.
Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.
Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.
EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
Kwa hiyo hawa wanaofurika kwenye viwanja vya Ulaya wamasaidiwa na chanjo?Ameshauri serikali kupiga marufuku mikusanyiko.
Dah!! Ume nikumbusha mbali ,hizi ndo alama za hesabu.Inavyosemekana hili ni toleo la nne kati ya matoleo 24 yaani tunaenda na herufi za kigiriki sasa tulianza na Alpha tutamaliza na Omega.....ukinusurika hayo yote bila kuchanjwa basi wewe ni mwamba[emoji1787][emoji116][emoji205]View attachment 1843810
Jinga kweli hili.Oya mniamini
Hapa napofanyia kazi
Watu wanaondoka.
Jichunge, chunga familia yako.
Nyie wazee wazee wamiaka kuanzia 40+,na wenye UKIMWI, kisukari, magonjwa ya Moyo, Shinikizo la Damu,Magonjwa sugu ya mfumo wa upumuaji ... Mnaondoka chap chap.
Umeandaa makalio?TUJIANDAE KUCHANJA......
Andaa na makalio yote mawili.Binafsi nimeshaliandaa BEGA LANGU.....
Ninaisubiri chanjo