#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

tulowalaza wengi wote umri unaanzia 40+

Kati yao 70% wana magonjwa mengine nloyataja...na ndo wanaongoza kuondoka..kuliko wale ambao walikua hawana hayo.


Idadi ya Wagonjwa inazidi kuongezek uku mashine zikibakia vilevile....( utaelewa hapa kitakachotokea.).


Pia Madawa tunayotumia ni Gharama sana, Kwa mtu masikin kutoboa ni Tizi.


CHANJO NDIO NJIA PEKEE YA KUSAIDIA "WANYONGE"


tumeshampoteza Daktari mmoja.
Ndo maana nimekwambia, wewe ni daktari uchwara.

Kwanza huna maadili ya kazi, lakini pili unaonekana wewe ni goigoi wa kitaaluma.

Sijui ni daktari wewe? Ama nesi?

Hata lugha yako tu inaonesha ina utoto na ujinga ndani yake.
 
Niliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.

Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.

Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.

Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.

EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
Ni ujinga,tu na upumbavu hakuna Corona wala nn watu wanadanganyana tu uongo uongo
 
tulowalaza wengi wote umri unaanzia 40+

Kati yao 70% wana magonjwa mengine nloyataja...na ndo wanaongoza kuondoka..kuliko wale ambao walikua hawana hayo.


Idadi ya Wagonjwa inazidi kuongezek uku mashine zikibakia vilevile....( utaelewa hapa kitakachotokea.).


Pia Madawa tunayotumia ni Gharama sana, Kwa mtu masikin kutoboa ni Tizi.


CHANJO NDIO NJIA PEKEE YA KUSAIDIA "WANYONGE"
Mkuu hiyo shida ya kushindwa kupumua kweli inasababishwa na pneumonia au ni kitu ingine, kuna hypothesis kwamba korona haiathiri mfumo wa upumuaji pekee, bali inaweza kuwa na madhara kwenye viungo vingine, hasa kuathiri mishipa ya damu na kusababisha damu kuvuja na kuganda.....je, aspirin inaweza kuwa na msaada, kule India walikuwa wanatumia ivermectin kutibu wagonjwa ingawaje haijaidhinishwa na WHO...
 
lina UKIMWI ,sasa limepata HIV Encephalopathy.. Virusi vimeshalifikia kwenye ubongo, linataabika ndio maana linabwabwaja.
Bwatuka tu kama ng'ombe!

Nitakuwa nakumulika kwa karibu sana wewe nesi uchwara usiye na maadili.

Hata wanaoumwa UKIMWI wanastahili kutunziwa faragha za magonjwa yao pia.

Lakini kwa kuwa uliajiriwa kimagumashi na mavyeti ya kuokota, ndio maana sishangai kuona huna maadili ya kazi.

I will trace your little stinky ass and watch you closely. Nitakubaini tu.

Na nikikubaini.... Hiiiiiiiiiiiiiiii bhaghosha... utatambua kwamba hii dunia ni ndogo kama ndulele.
 
tulowalaza wengi wote umri unaanzia 40+

Kati yao 70% wana magonjwa mengine nloyataja...na ndo wanaongoza kuondoka..kuliko wale ambao walikua hawana hayo.


Idadi ya Wagonjwa inazidi kuongezek uku mashine zikibakia vilevile....( utaelewa hapa kitakachotokea.).


Pia Madawa tunayotumia ni Gharama sana, Kwa mtu masikin kutoboa ni Tizi.


CHANJO NDIO NJIA PEKEE YA KUSAIDIA "WANYONGE"
Mkuu, nina siku ya 6 leo napambana na huyu Delta Variant. Mbali na ile cocktail ya Amoxyclav,Azuma,Loratadine,Zinc,PCM nasikia kuna hii hapa[emoji116] pia inatumika. Je ina uhakika ama ndo nikimeza nitakuwa nabwia sumu?

IMG-20210705-WA0029.jpg
 
tulowalaza wengi wote umri unaanzia 40+

Kati yao 70% wana magonjwa mengine nloyataja...na ndo wanaongoza kuondoka..kuliko wale ambao walikua hawana hayo.


Idadi ya Wagonjwa inazidi kuongezek uku mashine zikibakia vilevile....( utaelewa hapa kitakachotokea.).


Pia Madawa tunayotumia ni Gharama sana, Kwa mtu masikin kutoboa ni Tizi.


CHANJO NDIO NJIA PEKEE YA KUSAIDIA "WANYONGE"
Hilo la hao wenye magonjwa mengine hivi takwimu zao za vifo zikoje before corona? Yani hao watu wenye 40+ kwa mwaka walikuwa wanakufa wangapi kabla ya ujio wa huu ugonjwa wa corona?
 
Mkuu hiyo shida ya kushindwa kupumua kweli inasababishwa na pneumonia au ni kitu ingine, kuna hypothesis kwamba korona haiathiri mfumo wa upumuaji pekee, bali inaweza kuwa na madhara kwenye viungo vingine, hasa kuathiri mishipa ya damu na kusababisha damu kuvuja na kuganda.....je, aspirin inaweza kuwa na msaada, kule India walikuwa wanatumia ivermectin kutibu wagonjwa ingawaje haijaidhinishwa na WHO...
Hata Bongo tunatumia akina Ivermectin, akina carbidopa-levodopa, akina rivaroxaban , akina ma-vitamin n.k n.k

Madawa ni mengi kwa kuyataja !!


Pneumonia inaweza kua Viral/Bacterial/atypical .


Nikweli Corona anafanya damu kuganda ndio sababu tunatoa rivaroxaban ambayo inatumika kwa pamoja na akina Aspirin ,kuzuia Damu kuganda.
 
Bwatuka tu kama ng'ombe!

Nitakuwa nakumulika kwa karibu sana wewe nesi uchwara usiye na maadili.

Hata wanaoumwa UKIMWI wanastahili kutunziwa faragha za magonjwa yao pia.

Lakini kwa kuwa uliajiriwa kimagumashi na mavyeti ya kuokota, ndio maana sishangai kuona huna maadili ya kazi.

I will trace your little stinky ass and watch you closely. Nitakubaini tu.

Na nikikubaini.... Hiiiiiiiiiiiiii... utatambua kwamba hii dunia ni ndogo kama ndulele.
Mkuu achaneni na malumbano na huyo daktari, sioni kama yanaleta tija yoyote hasa yanapohusisha unyanyapaa kwa wagonjwa...
 
Bwatuka tu kama ng'ombe!

Nitakuwa nakumulika kwa karibu sana wewe nesi uchwara usiye na maadili.

Hata wanaoumwa UKIMWI wanastahili kutunziwa faragha za magonjwa yao pia.

Lakini kwa kuwa uliajiriwa kimagumashi na mavyeti ya kuokota, ndio maana sishangai kuona huna maadili ya kazi.

I will trace your little stinky ass and watch you closely. Nitakubaini tu.

Na nikikubaini.... Hiiiiiiiiiiiiii... utatambua kwamba hii dunia ni ndogo kama ndulele.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahaha falaa sana, wewe ni mbwaaaa pakaa tu kwangu.

Nikuelekeze nilipo???
 
Mkuu kama wewe ni daktari hii stigma kwa wagonjwa sidhani kama ni jambo la kimaadili.....nafikiri bora ungeachana na malumbano na huyo jamaa..
Mkuu usiku mwema.


Kikubwa yale mazoea yalokuwepo na Imani juu ya UVIKO, watu waache, watu wachukue Tahadhari zote kujikinga.


Hali sio nzuri.
 
Afya mgogoro ndio wanapigwa na covid haya mambo ya kupeleka sheria za covid shuleni na kuacha kuzipeleka kwenye madaladala na viviko ni upumbavu wa serikali

Offisi zote za serikali zina watu watu wenye 45+ but hakuna jitihada zozote wanafanya ukienda kupata huduma mfano TRA

Yaani mtoto mwenye kinga wa miaka 10 unamwambia mambo ya covid

Baada ya kuprotect watu wazima wenye mangonjwa nyemelezi

Acha tufe tu
Mkuu umenena vizuri Sana. Yaani na Liwizara la Afya lipo tu
 
Back
Top Bottom