#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

Aliyekwambia covid imetua mwanza leo nani? tangu wiki tatu zilizopita kuna cases za watu wanaopata mafua na kupoteza uwezo wa kuhisi harufu, labda kama wewe ndo umeona jambo geni. Karibu mwezi mzima wizara imeshatoa tahadhari za watu kujikinga na covid, au unataka waje wakufunge pingu za miguu. Aliyekwambia chanjo ya mabeberu ya Pfizer ndo itakulinda na kifo ni nani........yaani ulivyokurupuka kuleta hii taarifa ni kana kwamba kuna jambo geni...
Hii vipi
Screenshot_20210706_221417.jpg
 
Mkuu utakuwa una smoke weed au labda ni mini tu nachukulia life too seriously ??
Ni wewe tu mkuu, yaan ukiwa serious sanaa

Huwezi nielewa.

Bangi wala sigara wala pombe, HAVIJAWAH GUSA KIGANJA CHA MKONO WANGU.

yaan unachokiwazia, mimi nakijua 100% ila nmeandika kwa sababu NMEAMUA KUANDIKA IVO.

Usikute kila siku nakuhudumia na unanikubali sana .
 
Mkuu, nina siku ya 6 leo napambana na huyu Delta Variant. Mbali na ile cocktail ya Amoxyclav,Azuma,Loratadine,Zinc,PCM nasikia kuna hii hapa[emoji116] pia inatumika. Je ina uhakika ama ndo nikimeza nitakuwa nabwia sumu?

View attachment 1844016
Hii dawa inafanya kazi gani?
Cure?
Treat?
Prevent ?
 
Ni wewe tu mkuu, yaan ukiwa serious sanaa

Huwezi nielewa.

Bangi wala sigara wala pombe, HAVIJAWAH GUSA KIGANJA CHA MKONO WANGU.

yaan unachokiwazia, mimi nakijua 100% ila nmeandika kwa sababu NMEAMUA KUANDIKA IVO.

Usikute kila siku nakuhudumia na unanikubali sana .
Nina miaka mingi sijawahi kwenda hosp mkuu!!
 
Nasikia Uganda Delta imeyakumba hadi majeneza, nayo yanakufa na kuzikwa
Kuna clip moja niliona ya habari wana rwport uganda wamepeleka wagonjwa wa covid uwanjani..eti hali ni mbaya sana na ni watu wengi wakati huo huo video inaoneyesha watu kadhaa kama wanne tu hapo uwanja mzima na ambulance pamoja na watoa huduma ..nilishindwa kuelewa kwakweli.. dhumuni lao ni nini haswa??
 
Afu eti anajiita daktari. Hiiiiiiiiiiiiii......

Huyo muhuni nikibaini anapofanyia kazi nitamfurahisha.

Mwanzoni nilijaribu kumsoma kwa kurudia rudia nikahisi labda sijamuelewa vizuri.

He is a brainless kid.... Hao huwa kuna namna tunawafinya na kuwatuliza.

Akafanye uhuni kwa mama na baba yake huko— sio kwenye afya za watu!
Ok mkuu just relax, watu tupo tofauti sana!!

Sometimes vitu anavyo type mtu , na ukikutana naye ni watu wawili tofauti..!
 
Afu eti anajiita daktari. Hiiiiiiiiiiiiii......

Huyo muhuni nikibaini anapofanyia kazi nitamfurahisha...
Hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wee bwana utaongea yotez ili mradi uko kwa Mbaazi...

Unamiaka isiyozidi 20-25 mbele , Anza kutubu tu, siku hazikawii.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pumbavu wewe, Unajua ilinichukua kitu gan, kusoma miaka mitano nakutoboa .
Wakati mwingine hii mipumbavu ya uviko inabidi uipelekepeleke hivyo hivyo kingwasu ngwasu ...
Yaani kama ming'ombe ya kuswagwa sababu ilishaezoeshwa kuswaga ivi na Mwenda....
Mimi nilichoka...
 
Umegonga penyewe. Mtanzania hatajua madhara ya kitu mpanga aone kimemtokea yeye, mtu wa familia au jirani. Hii ni aina ya ubongo wa panya hii.
Mkuu huu ugonjwa hata ukifuatilia nchi mbalimbali bado kuna mkanganyiko sio watu wote wanaamini serikali zao/who /main stream media.. na hii ni duniani kote
 
Kama taifa tunajiandaa kuchomwa chanjo dhidi ya CORONA.

Mh.Waziri wa afya amesema.

Huku kijiweni ninakosebenza "Wana" wamepokea habari hiyo kwa UTAYARI WA KUCHOMWA CHANJO HIYO.

Nitapiga picha na kuirusha humu ndani hiyo siku BEGA LANGU likitogwa SINDANO....

Ije tu tuchomwe.....

#KaziInaendelea
 
Afu eti anajiita daktari. Hiiiiiiiiiiiiii......

Huyo muhuni nikibaini anapofanyia kazi nitamfurahisha...
Ohooo siku zinayoyoma mkuu

Wee ona JK ameingia Madarakan 2005 lkn leo hii miaka mingapi imepita?

Hata kama unatumia ARVs, tambua kwamba ,Hizo dawa zinakusogeza mpaka miaka 20-25 tu, Figo kuleeeee, Ini kuleeeee , unarudi mavumbini[emoji23][emoji23][emoji23]

SIKUKUTUMA.
 
Back
Top Bottom