wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Ngoja tumalize game ya kigoma mzee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee !!Niliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.
Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.
Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.
Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.
EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
Covid ni PropagandaCovid 19 is real, wear mask not condom, live responsibly.
Huyo ndugu yako alikua ana mattz mengine sema mliamua kujitoa ufahamu na kusema CoronaYaani Kuna majinga ya magufuli wanaichukulia simply sana Covid19, me ilimpata ndugu yetu, Ni hatari kabisa,
Nchi inafunguka uchumi ulioyumbishwa na jiwe unaimarishwa na mama kwa kufungua biashara na majirani tulia mkuu.Niliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.
Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.
Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.
Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.
EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
Ndio hizo hizo delta ya yenyewe kwenye physics si kulikuwa kuna delta-theta mambo ya heat Q=mc∆θDah!! Ume nikumbusha mbali ,hizi ndo alama za hesabu.
Afya mgogoro ndio wanapigwa na covid haya mambo ya kupeleka sheria za covid shuleni na kuacha kuzipeleka kwenye madaladala na vivuko ni upumbavu wa serikaliIla Tanzania masihara ni kubwa mno kuhusu Corona. Omba Tu Mungu isikupitie au kupitia wa karibu yako au ndugu ndiyo utajua machungu yake. Sitaki kukumbuka madhara ya hii Corona kwenye ukoo wetu na majirani kadhaa. Rest in Peace my people.
Niliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.
Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.
Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.
Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.
EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia Uganda Delta imeyakumba hadi majeneza, nayo yanakufa na kuzikwa
Una UKIMWI ?? .Jinga kweli hili.
Kwanza huna maadili yoyote ya kuwa japo nesi wa zahanati.
Unaonekana muhuni muhuni tu wewe, na hao waliokuajiri watakuwa fyatu kama wewe.
Hutalazimishwa KUCHANJWA zwazwa wee!Andaa na makalio yote mawili.
Hata dikteta alisema ivyoivyo, mwisho ikamuulia mbaliHuyo ndugu yako alikua ana mattz mengine sema mliamua kujitoa ufahamu na kusema Corona
MATUSI hayauzwi....fulafula weweUmeandaa makalio?
Nimekuuliza umeandaa makalio?Hutalazimishwa KUCHANJWA zwazwa wee!
Jibu swali...MATUSI hayauzwi....fulafula wewe
Ukimwi ndo nini?Una UKIMWI ?? .
Duh! Miaka 40 ni wazee?[emoji1787]
tulowalaza wengi wote umri unaanzia 40+Kuwa wazi, wanaondoka kwenda wapi.......doh! kumbe sisi tulio na miaka 40 tayari ni wazee, ngoja nikaji lockdown.
Pumbavu wewe, Unajua ilinichukua kitu gan, kusoma miaka mitano nakutoboa .Ukimwi ndo nini?
Nimekueleza, hata hao waliokuajiri ni mapunguani kama wewe!
Hakuna mtu anaajiri jitu huni huni!
Uko na shida kubwa ya kimaadili!
Umenipa kazi yakupitia Nyuzi zako angalau nijue najibizana nananiUkimwi ndo nini?
Nimekueleza, hata hao waliokuajiri ni mapunguani kama wewe!
Hakuna mtu anaajiri jitu huni huni!
Uko na shida kubwa ya kimaadili!