peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Lukuvi anafaa 100% kugombea Urais 2025!Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
KabisaSawasawa kama ni kweli.Kila mtu huwa na ndoto zake.Mipango huanza kabla ya matumizi.Achunge wakora wasimlie mapesa yake tu.Kila penye changamoto kuna watu hupata fursa.
Ma shaa Allah.Wewe sio lazima useme unaunga mkono wapi labda mgeni wa hapa JF asiyekutambua wewe akili zako zilipolalia
Agiza mdudu, nakuja kulipia kabisa.Haki yake, atimize masharti na vigezo. Sukuma gang wapo watamuunga mkono. Wengine sisi tuna mama Samia mpaka kieleweke.
Ukorofi huu.Akiza mdudu, nakuja kulipia kabisa.
Lukuvi anafaa 100% kugombea Urais 2025!
Kanda ya ziwa tunsomba baraka zenu.
Kanda ya kaskazini tunaomba baraka zenu
Kanda ya kati ya kati tunsombabaraka zenu
Kanda ya kusini hakuna matatizo
Unguja na pemba hatuhitaji kura yeyote
Kwa sababu muislam mwenzetu,right?Ma shaa Allah.
Wewe jee, akili zako zimelalia wapi? Kwa mama Samia au Siyo?
Kwa hiyo?Wassira yuko na Mbowe kwenye Maridhiano
Hueleweki ulichokiandika.Akiza mdudu, nakuja kulipia kabisa.
You are very right, Muislam na Muislam ni ndugu.Kwa sababu muislam mwenzetu,right?
Hata akiwa gaidi kama alivyokuwa MULLAH OMAR?You are very right, Muislam na Muislam ni ndugu.
Kwa hiyo ni sultan?katiba ya chadema inasema mwenyekiti na mmiliki wa chama bwana mbowe habadilishwi mpaka afie hapo
Ukimtaja lukuvi unanikumbusha padre salvatory wa migoli unanikumbusha kuisha kwa Tembo unanikumbusha namna pembe za ndovu zilivokuwa zikipakwa rangi na kusafirishwa nje,unanikumbusha ulichongwa mtumbwi mkubwa mchana unawavusha watu kwenda kilamba kitali na mlazo kwa bei nafuu usiku unarudi na pembe za ndovu mwacheni mama apige minane hiyo iliyobaki.Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Kumbe bakhresaa nae figisu figisu ee. Mbona anaitwa muislam safi??Alitunyanganya shamba letu akampa bakhresa, akajua Giza halitaisha, Sasa mbona jua limetoka