Huenda ikawa hivyo, ila anapita kila Wilaya kukutana na Viongozi wa Chama kusaka kuungwa mkono yeye au mpambe wake.Gwajima hana mpango na urais. Kazi anayoifanya ni kwa ajili ya mtu mwingine kabisa.
Lukuvi ni jembe la nguvu toka enzi na enzi!! Namshauri mama aendelee kulitumia!, asiwaache wapinzani waidake hii dhahabu!!Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Gwajima hawezi kuwapigia kampeni hao hata siku moja. Kina gwajima wana mtu waoHuenda ikawa hivyo, ila anapita kila Wilaya kukutana na Viongozi wa Chama kusaka kuungwa mkono yeye au mpambe wake.
Usikute anamfanyia kampeni Mama mwenyewe au mtunza Kibubu chetu manake naye ana huo mpango kitambo
Ngoja tuone Mkuu, ila seems vita ya 2025 huenda ikawa ni kubwa ndani ya ChamaGwajima hawezi kuwapigia kampeni hao hata siku moja. Kina gwajima wana mtu wao
Mtunza kibubu atazeeka huku ana panga mipango.Huenda ikawa hivyo, ila anapita kila Wilaya kukutana na Viongozi wa Chama kusaka kuungwa mkono yeye au mpambe wake.
Usikute anamfanyia kampeni Mama mwenyewe au mtunza Kibubu chetu manake naye ana huo mpango kitambo
Ila naye ana hiyo mipango kitambo.Mtunza kibubu atazeeka huku ana panga mipango.
Kwani mkwewe Abood anasemaje?Duh
Sidhani yule sasa anastaafu Siasa!
Sana. Huyu bibi atupishe tu hakuna namnaNgoja tuone Mkuu, ila seems vita ya 2025 huenda ikawa ni kubwa ndani ya Chama
Ila naye ana hiyo mipango kitambo.
Unajua yale mawe aliyochora chatter zake bado hajafuta
Ila kile kiti ni kitamu ujue, sijui kama atakiachia kirahisiSana. Huyu bibi atupishe tu hakuna namna
Ukimtaja lukuvi unanikumbusha padre salvatory wa migoli unanikumbusha kuisha kwa Tembo unanikumbusha namna pembe za ndovu zilivokuwa zikipakwa rangi na kusafirishwa nje,unanikumbusha ulichongwa mtumbwi mkubwa mchana unawavusha watu kwenda kilamba kitali na mlazo kwa bei nafuu usiku unarudi na pembe za ndovu mwacheni mama apige minane hiyo iliyobaki.
Afukuzwe CCM mapema!Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Mfukuzeni tuoneAfukuzwe CCM mapema!
Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Ujinga wako peleke huko,kama ni siri wewe umejuaje ndezi wewe?Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!