Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Huenda ikawa hivyo, ila anapita kila Wilaya kukutana na Viongozi wa Chama kusaka kuungwa mkono yeye au mpambe wake.Gwajima hana mpango na urais. Kazi anayoifanya ni kwa ajili ya mtu mwingine kabisa.
Usikute anamfanyia kampeni Mama mwenyewe au mtunza Kibubu chetu manake naye ana huo mpango kitambo