Tetesi: Inasemekana Lukuvi atagombea 2025!

Tetesi: Inasemekana Lukuvi atagombea 2025!

Gwajima hana mpango na urais. Kazi anayoifanya ni kwa ajili ya mtu mwingine kabisa.
Huenda ikawa hivyo, ila anapita kila Wilaya kukutana na Viongozi wa Chama kusaka kuungwa mkono yeye au mpambe wake.

Usikute anamfanyia kampeni Mama mwenyewe au mtunza Kibubu chetu manake naye ana huo mpango kitambo
 
Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Lukuvi ni jembe la nguvu toka enzi na enzi!! Namshauri mama aendelee kulitumia!, asiwaache wapinzani waidake hii dhahabu!!
 
Mbona Kinana aliwahi kutuhumiwa hivyo pia?
Ukimtaja lukuvi unanikumbusha padre salvatory wa migoli unanikumbusha kuisha kwa Tembo unanikumbusha namna pembe za ndovu zilivokuwa zikipakwa rangi na kusafirishwa nje,unanikumbusha ulichongwa mtumbwi mkubwa mchana unawavusha watu kwenda kilamba kitali na mlazo kwa bei nafuu usiku unarudi na pembe za ndovu mwacheni mama apige minane hiyo iliyobaki.
 
Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Afukuzwe CCM mapema!
 
Kwani ccm wanaruhusu Rais wao mwenye fursa ya kuendelea kupingwa ndani ya chama?
Fomu ya kugombea ndani ya chama kutolewa na katibu mkuu, kwa hiyo unataka kusema Chongolo ata risk ugali wake au?
Acha ramli chonganishi.
 
Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!

Kura yako haina thaman
 
Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Ujinga wako peleke huko,kama ni siri wewe umejuaje ndezi wewe?
 
Back
Top Bottom