Tetesi: Inasemekana Lukuvi atagombea 2025!

Tetesi: Inasemekana Lukuvi atagombea 2025!

Nimewahi kuonana naye Mwaka Jana, the Old Man wants to Compete for the higher Position.

And seems nyuma yake kuna watu wana muunga Mkono in Silent mode.

Mwingine ambaye nimewahi kuonana naye ni Mzee wa Kuwapeleka Wana Kawe USA, huyu ameshazunguka zaidi ya Wilaya 85 hadi 100 kufikia sasa, na target yake nahisi itakuwa ni hiyo hiyo kuungwa Mkono.

Nahisi kuna watu wana mission zao kuelekea 2025. Mama should put her eyes everywhere kama bado ana mpango wa kuendelea
 
Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Sasa hivi mnamwogopa kila mtu

Lukuvi ni presidential material na ni mwaminifu, binafsi namtakia kila lakheri kama ni kweli!

Au hupendi?
Labda rais wa mateja
 
Si jambo baya, Ni haki yake kikatiba.Binafsi ninamkubali sana na ninamtakia kila la kheri.

NB: Binafsi kuliko kumpigia kura Suluhu bora nikatupe kura yangu mtoni
 
Lukuvi anayo haki ya kufanya hivyo. Lakini ndani ya ccm si wanapeana miaka 10. Kama ndivyo basi mheshimiwa mama atagombea 2025. Vinginevyo labda wale WAGUMU wa kuelewa wanaosema mama anamalizia utawala wa awamu ya tano kikatiba, na baada ya hapo utaitishwa uchaguzi ndani ya chama kumchagua mgombea atakayewakilisha chama 2023 na kumpata raisi wa kuchaguliwa wa awamu ya 6.
Miaka 10 ndiyo inaishia 2025 mambo ya kupeana yamesitishwa kwa muda.
 
Nimewahi kuonana naye Mwaka Jana, the Old Man wants to Compete for the higher Position.

And seems nyuma yake kuna watu wana muunga Mkono in Silent mode.

Mwingine ambaye nimewahi kuonana naye ni Mzee wa Kuwapeleka Wana Kawe USA, huyu ameshazunguka zaidi ya Wilaya 85 hadi 100 kufikia sasa, na target yake nahisi itakuwa ni hiyo hiyo kuungwa Mkono.

Nahisi kuna watu wana mission zao kuelekea 2025. Mama should put her eyes everywhere kama bado ana mpango wa kuendelea
Gwajima hana mpango na urais. Kazi anayoifanya ni kwa ajili ya mtu mwingine kabisa.
 
Back
Top Bottom