Lyambalyetu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 278
- 255
Ati bhana!Watu wanajua jishushia eshima sana, lukuvi uyu ndo awe no 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ati bhana!Watu wanajua jishushia eshima sana, lukuvi uyu ndo awe no 1
Hongera sanaUkweli mie ni kati ya wanaoaminiwa nao but kwa kuwa tu wengi hawezi jua mie ni nani?
Jiandae kwenda isimani kumshangilia nduguyo ili mkono upate kwenda kwa kinywa.Duh
Sidhani yule sasa anastaafu Siasa!
Nimecheka kifala sana mkuu wanguAti bhana!
Kwanza mdini wa waziwazi,ampe nani nchiHana ushawishi kiasi hicho.
Kwani like chama cha kuchukua makapi hakitakuwepo? Au asali imenoga?Acheni Porojo Ninyi Lukuvi Sasa Hivi Ni Ng'ombe Aliyekatika Mkia Machungani
Atagombea Akiwa Chama Gani? Mmesahau Ya Kufutwa Uanachama
Sosopi?Jiandae kwenda isimani kumshangilia nduguyo ili mkono upate kwenda kwa kinywa.
Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Labda rais wa matejaSasa hivi mnamwogopa kila mtu
Lukuvi ni presidential material na ni mwaminifu, binafsi namtakia kila lakheri kama ni kweli!
Au hupendi?
Inategemea umesimama wapiLabda rais wa mateja
Miaka 10 ndiyo inaishia 2025 mambo ya kupeana yamesitishwa kwa muda.Lukuvi anayo haki ya kufanya hivyo. Lakini ndani ya ccm si wanapeana miaka 10. Kama ndivyo basi mheshimiwa mama atagombea 2025. Vinginevyo labda wale WAGUMU wa kuelewa wanaosema mama anamalizia utawala wa awamu ya tano kikatiba, na baada ya hapo utaitishwa uchaguzi ndani ya chama kumchagua mgombea atakayewakilisha chama 2023 na kumpata raisi wa kuchaguliwa wa awamu ya 6.
sosopi hana bahasha za kaki wewe huwezi kumshangilia kamwe.Sosopi?
Hakuna mgombea asiyepenyeza rupia zama hizi bwasheesosopi hana bahasha za kaki wewe huwezi kumshangilia kamwe.
Gwajima hana mpango na urais. Kazi anayoifanya ni kwa ajili ya mtu mwingine kabisa.Nimewahi kuonana naye Mwaka Jana, the Old Man wants to Compete for the higher Position.
And seems nyuma yake kuna watu wana muunga Mkono in Silent mode.
Mwingine ambaye nimewahi kuonana naye ni Mzee wa Kuwapeleka Wana Kawe USA, huyu ameshazunguka zaidi ya Wilaya 85 hadi 100 kufikia sasa, na target yake nahisi itakuwa ni hiyo hiyo kuungwa Mkono.
Nahisi kuna watu wana mission zao kuelekea 2025. Mama should put her eyes everywhere kama bado ana mpango wa kuendelea
Wewe tofauti na bahasha za lukuvi pia huwa unapokea lile fungu la kuwanunulia vijana ulanzi alafu unawatapeli.Hakuna mgombea asiyepenyeza rupia zama hizi bwashee
Sema tu Sosopi dau lake ni Buku Buku ndio sababu anafeli 😀
Sosopi aungane na Chili Abwao wakamtoe Kibajaj MteraWewe tofauti na bahasha za lukuvi pia huwa unapokea lile fungu la kuwanunulia vijana ulanzi alafu unawatapeli.
Chiku abwao nadhani bado yupo act atatumiwa kwenye fitna za iringa mjiniSosopi aungane na Chili Abwao wakamtoe Kibajaj Mtera
Ni haki yake Kikatiba.