Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Hii itasaidia kuondoa propaganda kuwa CHADEMA wanapokea kila mtu anaefukuzwa CCM maana wapotoshaji hawaelezi wananchi sababu hasa za watu kuhama au kufukuzwa CCM bali hoja yao ni wasaliti.

Nape wala usihangaike kwenda mahakamani bali hamia tu ACT kisha CHADEMA mumuunge mkono kwa kutosimamisha mgombe yoyote katika jimbo hilo bali mumuunge mkono kupitia ACT-Wazalendo.

Adaui yetu mkubwa kisiasa ni CCM na mfumo wake kuliko Nape alieshabikia "goli la mkono" na kuzuiwa kwa Bunge live maana hapo alikuwa anatekeleza kazi ya system.

Hata hivyo, ushauri huu utakuwa na maana iwapo ni kweli Nape atakuwa amevuliwa uanachama wa CCM.
 
Bombardier za anko Magu zitang'ooka na wengi asee
 
Nape itakuaajabu ipi kama ikitokea kufukuzwa sio wa kwanza kufukuzwa hata akina zito walikua maarufu na wa hamasishaji wakafukuzwa na bado chama kikapeta itakuwa nape ccm
Hawa jamaa wanahaha kutafuta mtu watakayemsimamisha kama mgombea wao wa urais. Sasa wameshaanza kumnyatia Nape. Ha ha ha.
 
click the right button nchi c yako hii (nape, nyalandu)
bashe strong worning
 
Nape alihama CCM akaanzisha CCJ na Pendazoe...Kikwete kwa kuona mbali akamwambia dogo utapotea rudi kundini, Nape akarud kundini akiibua mzozo mkali kat yake na Lowasa....awamu hii kaanza kulia lia tena...duh labda Maghufulk atambembeleza
 
Naona let mutuz na bashite wanasema timu ushindi upande wa pili
 
ALBADILI INATAFUNA HADI INZI KWENYE JALALA LA MKUSUDIWA

hongera kwa hiyo timua timua walao next election bao la mkono halitokuwepo
 
Bado Husein Bashe !!
Binafsi sishangai mtu kama Nape hata na Bashe wakiondoka huko baada ya kugundua kuwa siyo makao yao sahihi, ila huwa nawasikitikia sana vijana wa umri mdogo na hasa wasomi wanaoendelea kwenda huko!
ccm iachiwe wenyewe waliopea umri kama yule mzee Hasira aliyekuwa anaburuzana na Mh. Mbunge wa Bunda, dada Ulaya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom