Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,452
- 2,197
Ccm iNavunjika mapande mapande
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye sekretarieti wa zamani kabakia Mangula tu na mwendo huo utashuka hadi kwenye shina!Hiyo CCM mpya haitokani na ya zamani?
Nazooooooooom makundi ya 2020.... Hapatatosha wallah...This time wengi itakula kwao ....watapokuja kushtuka it's too late ....nafikiri Nape ametafuta hili kwa nguvu zake mwenyewe .....
Mathew akagombee TFF!!Mgombea wa chadema uchaguzi mdogo jimbo la Mtama Ni Seleman Mathew huyo Nape akagombee kwa ACT
Kwani we ndo napeKwani tatizo nini hata nikivuliwa?
Kwani na wewe unatamani bunge liwe live ila unaogopa kusema?Kama ni kweli muda si mrefu utasikia cdm wanaanza kumsafisha kwa madodoki kuwa hakuhusika kwa lolote kufanikisha bunge live kutokomea kusikojulikana
Huenda ndiye au siye...mana aliyesema hyo kauli mimi simujui..Yule ambae babake alituambia tutabatizwa kwa moto?
Hao wenngine "wapya" hawakuwa CCM kabla ya kuwa kwenye Secretarieti?Kwenye sekretarieti wa zamani kabakia Mangula tu na mwendo huo utashuka hadi kwenye shina!
mkuuu achana na mnyarugusu huyoUnanijua wapi pimbi wewe! MAZWAZWA ndivyo mlivyo kurukia watu msiowafahamu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chama???Siyo rahisi.Nape mtu muhimu sana kwenye Chama chetu
This time wengi itakula kwao ....watapokuja kushtuka it's too late ....nafikiri Nape ametafuta hili kwa nguvu zake mwenyewe .....