Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
This time wengi itakula kwao ....watapokuja kushtuka it's too late ....nafikiri Nape ametafuta hili kwa nguvu zake mwenyewe .....
Nazooooooooom makundi ya 2020.... Hapatatosha wallah...
Kama mambo yenyewe ukikosoa unanyang'anywa kadi... then WANANCHI WA NTAMA WANAKOSA MWAKILISHI... , TUNAHITAJI KATIBA YA WARIOBA
 
"CCM Mpya" na ile ya "zamani" ni kama kuzungumzia vinasaba. Baba yako siyo wewe lakini wewe una vinasaba vya baba yako. Baba yako aliuawa sokoni kwa kupigwa marungu kwa kuiba debe la mahindi na wewe upo Gerezani kwa kuiba Ofisini kwenu baada ya kuajiriwa ulipomaliza chuo Kikuu.

Tofauti ya aina ya wizi na jinsi ulivyofanyika haiondoi mfanano wa matendo ya wizi yanayotakana na vinasaba ulivyo navyo wewe na baba yako!
 
Kwenye sekretarieti wa zamani kabakia Mangula tu na mwendo huo utashuka hadi kwenye shina!
Hao wenngine "wapya" hawakuwa CCM kabla ya kuwa kwenye Secretarieti?

Halafu nadhani sekretarieti inakuwa chini ya Katibu Mkuu na wala si Makamu wa Mwenyekiti!
 
Huyu nape nikikumbuka mwaka 2015 natamani hata wamtafune kabisa mijitu mingine siyo yakuonea huruma kabisa!
 
Hapana bana! Nape hakufanya lolote la kustahili kufukuzwa kazi. Hebu tia akili kichwani japo kwa dakika chache tu. Bashite ndiye aliyestahili kutemwa lakini kwa sababu ni mkolomije na anajua siri nyingi za dhalimu ndiyo sababu kakumbatiwa kwa nguvu zote.

This time wengi itakula kwao ....watapokuja kushtuka it's too late ....nafikiri Nape ametafuta hili kwa nguvu zake mwenyewe .....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom