Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Sitaki kuandika maneno mengi ila nitaomba jambo moja tu lifanywe na mh. Nape pale utakapo fukuzwa chama cha Mapinduzi, nalo ni kuunda chama cha siasa.

Nakuhakikishia ukijipanga vizuri tupo vijana wengi tutakuwa na wewe bega kwa bega kujenga chama chetu kutoka vumbini mpk juu kwenye neema.

Narudia haya maneno nchi hamna chama chenye dhamira na mkakati kabambe wa kuiondoa ccm zaidi wamekaa kimkakati kujinufaisha wao kwa wao.

Tafuta vijana tena wasomi tumekwama kwenye mifumo kandamizi tunahitaji kuonesha hasira zetu juu ya hawa wakoloni weusi.
 
Analipwa kwa alichopanda. Hecco km ni kweli....

Hata Nay wamitego ameimba..utalipwa ulichopanda, na iwe kweli. Maana hizo dhurma kwa watanzania hata sijui atatubia wap

Kama ni kweli ngoja niweke akiba ya maneno

Nape hapa karibuni anaonekana kama alikua anapush hili litokee

Kwa kosa lipi?

Acha watumuane hadi akili ziwakae sawa..

Unapoisema Bombadia kwa kusudi la "kuisimanga",jiandae kwa lolote.
Ile ndio "kampeni" ya baba mwenye nyumba!!

Mwenendo wa Nape hasa anapo-tweet Twitter ni wa utovu wa nidhamu totally! Ni hekima tu tena iliyotukuka ndio inaweza kumwacha salama! Vinginevyo kama sio leo, maamuzi kama hayo hayako mbali naye!!!!!
 
Sitaki kuandika maneno mengi ila nitaomba jambo moja tu lifanywe na mh. Nape pale utakapo fukuzwa chama cha Mapinduzi, nalo ni kuunda chama cha siasa.

Nakuhakikishia ukijipanga vizuri tupo vijana wengi tutakuwa na wewe bega kwa bega kujenga chama chetu kutoka vumbini mpk juu kwenye neema.

Narudia haya maneno nchi hamna chama chenye dhamira na mkakati kabambe wa kuiondoa ccm zaidi wamekaa kimkakati kujinufaisha wao kwa wao.

Tafuta vijana tena wasomi tumekwama kwenye mifumo kandamizi tunahitaji kuonesha hasira zetu juu ya hawa wakoloni weusi.


Huyo anakwenda act
 
Siyo rahisi.Nape mtu muhimu sana kwenye Chama chetu

Inawezekana mkuu mkutano huu ulkua muhm sana na nape hayumo

Pia kuna tweet ya jana kama sio juz alizungumzia issue ya bombadier na watu wa vijijini sasa inaonrkana ana mchokonoa mzee

Japo siombei iwee
 
NIMEKUMBUKA NAPE ALIVYOMTETEA JECHA KUFUTA MATOKEO.

NIMEMKUMBUKA NAPE ALIVYOPAMBANA KUPELEKA MUSWADA WA HABARI NA KUPGA MARUFUKU BUNGE LIVE

NIMEMKUMBUKA NAPE ALIVYOSEMA KUWA HATA KWA BAO LA MKONO, CCM LAZMA ISHNDE.

NAPE NI CCM DAMU KULIKO 95% YA WANA CCM.. ANAIPENDA CCM KULIKO NCH.

WAKIMVUA WANAMWONEA..
Pale alipotoa kashfa kule Iringa kwa kweli wanamwonea tu.. Kijana amekifia chama.
 
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema Nape Moses Nnauye amevuliwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi kufuatia kikao kilichoongozwa na Mwenyekiti jijini Dar es salaam leo...

Habari hizi ni za kunyapia nyapia zinasema hata Lazaro nae yuko matatani.
Duuu!!!! Sasa hiii Kali saaaaaanaaaa.....!!!!
 
Mwenendo wa Nape hasa anapo-tweet Twitter ni wa utovu wa nidhamu totally! Ni hekima tu tena iliyotukuka ndio inaweza kumwacha salama! Vinginevyo kama sio leo, maamuzi kama hayo hayako mbali naye!!!!!
utovu wa nidhamu kivipi? wewe kinyago tuchonge wenyewe halafu tukiogope haiwezekani bana.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Si kulikuwepo kile cha KKS (sina kumbukumbu vizuri kuhusu jina) kiliasisiwa ba yeye pamoja na Marehemu Sita? Chenyewe kilikuwa na dhamira gani?
 
This time wengi itakula kwao ....watapokuja kushtuka it's too late ....nafikiri Nape ametafuta hili kwa nguvu zake mwenyewe .....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom