Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema Nape Moses Nnauye amevuliwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi kufuatia kikao kilichoongozwa na Mwenyekiti jijini Dar es salaam leo...

Habari hizi ni za kunyapia nyapia zinasema hata Lazaro nae yuko matatani.
ACT wazalendo ipo
 
NAPE NA KAMPENI YAKE YA VUA GAMBA... AKIWA NA KINANA.


HAWA WATU WAMEFANYA KAZ NGUMU..

WAKAMPGA MAJUNGU MZEE WA MVI, WAKAMBEBA JPM.
 
Atoke nje awapige vizuri,na wakiitisha uchaguzi mdogo lazima awapige,
 
Sitaki kuandika maneno mengi ila nitaomba jambo moja tu lifanywe na mh. Nape pale utakapo fukuzwa chama cha Mapinduzi, nalo ni kuunda chama cha siasa.

Nakuhakikishia ukijipanga vizuri tupo vijana wengi tutakuwa na wewe bega kwa bega kujenga chama chetu kutoka vumbini mpk juu kwenye neema.

Narudia haya maneno nchi hamna chama chenye dhamira na mkakati kabambe wa kuiondoa ccm zaidi wamekaa kimkakati kujinufaisha wao kwa wao.

Tafuta vijana tena wasomi tumekwama kwenye mifumo kandamizi tunahitaji kuonesha hasira zetu juu ya hawa wakoloni weusi.
Kabla hamjapoteza pesa na muda wenu, waulizeni wafuasi CUF ya Maalim. Nchi hii unaweza ukafungiwa kufanya siasa mpaka ukafutika kwenye ramani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom