Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Hiyo CCM mpya haitokani na ya zamani?CCM mpya haiendekezi mambo ya " uswahili swahili"!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo CCM mpya haitokani na ya zamani?CCM mpya haiendekezi mambo ya " uswahili swahili"!
JE TU SIASA SIO VITAKama ni kweli akija ukawa wamkatae maana ni makapi!
Nimekuelewa mkuu barafuUnapoisema Bombadia kwa kusudi la "kuisimanga",jiandae kwa lolote.
Ile ndio "kampeni" ya baba mwenye nyumba!!
ACT wazalendo ipoHabari ambazo hazijathibitishwa zinasema Nape Moses Nnauye amevuliwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi kufuatia kikao kilichoongozwa na Mwenyekiti jijini Dar es salaam leo...
Habari hizi ni za kunyapia nyapia zinasema hata Lazaro nae yuko matatani.
Pigia mstari MkuuHiyo CCM mpya haitokani na ya zamani?
mungu wa chama!? mmmh yetu machoKosa la kumpiga vijembe mungu wa chama na nchi kwenye mitandao.
Kabla hamjapoteza pesa na muda wenu, waulizeni wafuasi CUF ya Maalim. Nchi hii unaweza ukafungiwa kufanya siasa mpaka ukafutika kwenye ramani.Sitaki kuandika maneno mengi ila nitaomba jambo moja tu lifanywe na mh. Nape pale utakapo fukuzwa chama cha Mapinduzi, nalo ni kuunda chama cha siasa.
Nakuhakikishia ukijipanga vizuri tupo vijana wengi tutakuwa na wewe bega kwa bega kujenga chama chetu kutoka vumbini mpk juu kwenye neema.
Narudia haya maneno nchi hamna chama chenye dhamira na mkakati kabambe wa kuiondoa ccm zaidi wamekaa kimkakati kujinufaisha wao kwa wao.
Tafuta vijana tena wasomi tumekwama kwenye mifumo kandamizi tunahitaji kuonesha hasira zetu juu ya hawa wakoloni weusi.