kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
kila mtu atavuna kwa wakati wakeNAPE NA KAMPENI YAKE YA VUA GAMBA... AKIWA NA KINANA.
HAWA WATU WAMEFANYA KAZ NGUMU..
WAKAMPGA MAJUNGU MZEE WA MVI, WAKAMBEBA JPM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kila mtu atavuna kwa wakati wakeNAPE NA KAMPENI YAKE YA VUA GAMBA... AKIWA NA KINANA.
HAWA WATU WAMEFANYA KAZ NGUMU..
WAKAMPGA MAJUNGU MZEE WA MVI, WAKAMBEBA JPM.
Kwani nani kasema sekretarieti iko chini ya Mangula?!Hao wenngine "wapya" hawakuwa CCM kabla ya kuwa kwenye Secretarieti?
Halafu nadhani sekretarieti inakuwa chini ya Katibu Mkuu na wala si Makamu wa Mwenyekiti!
Sifa za kuwa mbunge ziko wazi kabisa. Nape ni category ya mbunge wa Jimbo anayetokana na Chama kwa Uanachama wake. Akivuliwa uanachama ndo vile tena.Ina maana atapoteza sifa ya kuendelea kuwa mbunge?
"Freedom is coming"..?...au ndio inajisepa?...[emoji3][emoji3]Kama ni kweli basi CCM NI KAMA MNARA WA BABELI, freedom is coming soon in Tanzania
Hakuna kadi au katiba ya chama chochote inayosema nape ni makapiKama ni kweli akija ukawa wamkatae maana ni makapi!
Albadiri imejibuKama ni kweli basi CCM NI KAMA MNARA WA BABELI, freedom is coming soon in Tanzania
Ndio maana nimesema,hizi bombadia sio za kuzisimanga hizoMkuu yule aliyetufahamisha kukamatwa na kuzuiwa kwa bombardier sasa hivi yuko kwenye critical but stable condition.
Ndio maana nimesema,hizi bombadia sio za kuzisimanga hizoMkuu yule aliyetufahamisha kukamatwa na kuzuiwa kwa bombardier sasa hivi yuko kwenye critical but stable condition.
Mathew akagombee TFF!!
mkuuu achana na mnyarugusu huyo
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema Nape Moses Nnauye amevuliwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi kufuatia kikao kilichoongozwa na Mwenyekiti jijini Dar es salaam leo...
Habari hizi ni za kunyapia nyapia zinasema hata Lazaro nae yuko matatani.
Kwani hii ID mnaitumia watu wangapi hapo Lumumba? Maana inaonekana kila mtu anaandika la kwake. hapo chini imeandikwa kwamba Mangula ndiye pekee kabakia kwenye sekretarieti mpya, hapo juu inaulizwa wapi pameandikwa kama nani kasema Sekretarieti iko chini ya Mangula.Kwani nani kasema sekretarieti iko chini ya Mangula?!
Kwenye sekretarieti wa zamani kabakia Mangula tu