Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Let's wait, akaunti iliyoleta tetesi nilishawahi kuhisi inatumiwa na aliyekuwa anaitwa Tandale one ambaye ni mbunge wa sasa kwenye jimbo alilokuwepo jamaa mmoja aliyekuwa anafananishwa na jakaya
Mbona unazunguka pote huko, yani kutaja jina "MEMBE" mpaka uzunguke pori kiasi hicho? Ni nini hasa kinakuogopesha?
 
Ndoto ya mchana hii



Miezi iliyopita ilisemwa hivihivi kuhusu kina Bashe lakini hakukuwa na chochote
 
Analipwa kwa alichopanda. Hecco km ni kweli....

Hata Nay wamitego ameimba..utalipwa ulichopanda, na iwe kweli. Maana hizo dhurma kwa watanzania hata sijui atatubia wap
Ngoja tu nikuvumilie nisipigwe ban
 
kweli kabisa yakishaanza kuwakuta labda watajifunza.walidhani wanayo hati milki ya nchi hii. Magufuli fukuza wote. hili ni somo kwa wanaonendelea kutema mbovu ndani ya chama chakavu ccm
Exactly boss na hili somo kwa waliopo madarakani kwamba mambo yanaweza kubadilika anytime,

Leo kikwete anaambiwa anawashwa washwa

Sumaye na lowassa wanazuiwa kufanya mikutano mara kibao tu

Nani alihisi kama ipo siku hawa watu wataguswa achili mbali kusemwa vibaya na watu wao?
 
Nape huyu huyu wa bao la mkono? Hahahaaaa wacha atimuliwe tu maana ana maneno mengiiiiiiiii!! Hasa nikikumbuka 2015 .
Kama huwa unasoma angalau vitabu vya mungu huwezi kushabikia hili lkn kama daily ni gazeki la KIU na Uhuru u can proceed as usual
 
Sidhani kama wanaweza kufanya huo ujinga. Kama wamefanya kwa Nape basi wasimsahau Bashe, Msukuma na Lazaro Nyarandu kwakuwa kwao Passive kwa yaliyo ya kweli.

Wamekuwa wakiupuuza woga na huo ndio ujasiri wa kuamini katika demokrasia ya kweli
 
RAMLI CHUNGANISHI KAMA HIZI NIKAJUA ZIPO KANDA YA ZIWA TU, KUMBE HADI MTANDAONI
 
Sasa Lazaro afukuzwe kwa kosa gani? Kwa kumuombea Lissu au kwa kwenda Nairobi?

Mambo ya binadamu haya!
 
NIMEKUMBUKA NAPE ALIVYOMTETEA JECHA KUFUTA MATOKEO.

NIMEMKUMBUKA NAPE ALIVYOPAMBANA KUPELEKA MUSWADA WA HABARI NA KUPGA MARUFUKU BUNGE LIVE

NIMEMKUMBUKA NAPE ALIVYOSEMA KUWA HATA KWA BAO LA MKONO, CCM LAZMA ISHNDE.

NAPE NI CCM DAMU KULIKO 95% YA WANA CCM.. ANAIPENDA CCM KULIKO NCH.

WAKIMVUA WANAMWONEA..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom