KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
NAPE SAJILI CHAMA CHAKO USIJIUNGE CHAMA CHOCHOTE..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unazunguka pote huko, yani kutaja jina "MEMBE" mpaka uzunguke pori kiasi hicho? Ni nini hasa kinakuogopesha?Let's wait, akaunti iliyoleta tetesi nilishawahi kuhisi inatumiwa na aliyekuwa anaitwa Tandale one ambaye ni mbunge wa sasa kwenye jimbo alilokuwepo jamaa mmoja aliyekuwa anafananishwa na jakaya
Kwann isiwezekane? Mbona zitto alivuliwa na Chadema?Haiwezekani!
Ngoja tu nikuvumilie nisipigwe banAnalipwa kwa alichopanda. Hecco km ni kweli....
Hata Nay wamitego ameimba..utalipwa ulichopanda, na iwe kweli. Maana hizo dhurma kwa watanzania hata sijui atatubia wap
Exactly boss na hili somo kwa waliopo madarakani kwamba mambo yanaweza kubadilika anytime,kweli kabisa yakishaanza kuwakuta labda watajifunza.walidhani wanayo hati milki ya nchi hii. Magufuli fukuza wote. hili ni somo kwa wanaonendelea kutema mbovu ndani ya chama chakavu ccm
Hili lijamaa huwa najua lbda lipo ccm nalinacheo .kumbe halina lolote Habari zandani ndo linapata hum ..kweli misukule IPO mingisana. Mijitu kama hii inakuwaga mimaskini sana .Ngoja nifungue Whisky!
Kama huwa unasoma angalau vitabu vya mungu huwezi kushabikia hili lkn kama daily ni gazeki la KIU na Uhuru u can proceed as usualNape huyu huyu wa bao la mkono? Hahahaaaa wacha atimuliwe tu maana ana maneno mengiiiiiiiii!! Hasa nikikumbuka 2015 .
Hahaaa, labda UKAWA ya Ujerumani itayomkataa NNAPEKama ni kweli akija ukawa wamkatae maana ni makapi!
Yule ambae babake alituambia tutabatizwa kwa moto?Namaanisha January Makamba...bado una swali kujua yupo wap?
Jamaa waling'oa Abuud Jumbe akiwa Rais wa Zanzibar na mashua bado ikaendelea na safari!. Tatizo ni sisi, ni wazito mno kujifunza kwenye historia.Kama ni kweli basi CCM NI KAMA MNARA WA BABELI, freedom is coming soon in Tanzania