Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Jamani SA palikuwa na mtu anaitwa Malema aliwapa hard time viongoz wa Anc lakin alivuliwa uwanachama kiuhalisia Malema is very smart than Nnape sasa mim nauliza kama kweli Nnape amevuliwa uwanachama mbona sina uwakika kama ataweza kufurukuta mtaani maana atakuwa kakatwa miguu na mikono bd thing hayupo smart nawambia let us nbe cool Nnape hawezi kukivuruga chama nawaambia hawezi na ninauwakika huu ndio mwanzo wakuimarisha chama.
Watu wasiojulikana
 
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema Nape Moses Nnauye amevuliwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi kufuatia kikao kilichoongozwa na Mwenyekiti jijini Dar es salaam leo...
habari hizi ni za kunyapia nyapia zinzsema hata Lazaro nae yuko matatani....

Mod msiutoe huu uzi,habari hizi ni kutoka kwa mtu wa ndani kabisa ya Chama...
Inasemekana Lakini,
You Heard........!!!!!!!!!!????????????
(Tumia sauti ya Soud Brown)
 
Kama unajua leo kuna kikao gani basi jua leo watu wamegalagazwa.......ila mwenye habari kamili alete japo kikao bado kinaelekea ukingoni!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom