Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Nape huyu ambaye Baba yake alikatwa kichwa na magaidi wa Al kaida mpaka mzee Makamba akatoa machozi?
 
Jamani SA palikuwa na mtu anaitwa Malema aliwapa hard time viongoz wa Anc lakin alivuliwa uwanachama kiuhalisia Malema is very smart than Nnape sasa mim nauliza kama kweli Nnape amevuliwa uwanachama mbona sina uwakika kama ataweza kufurukuta mtaani maana atakuwa kakatwa miguu na mikono bd thing hayupo smart nawambia let us nbe cool Nnape hawezi kukivuruga chama nawaambia hawezi na ninauwakika huu ndio mwanzo wakuimarisha chama.
 
Hii habari imeandikwa masaa yamepita sasa na watu.. na majina yao yanazurura kwa screenshots Whatsapp..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom