MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Ndio maana Kinana ameamua kukaa pembeni..Dhalimu hahitaji kosa Mkuu ili kumvua mtu uanachama. Tusubiri kama ni kweli ila kama ni kweli chuki dhidi ya dhalimu ndani ya chama itazidi kuongezeka.
Hawezi fanya kazi na dhalimu..
Hata kwenye kikao cha leo hakuwepo.