Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliskika juzi akidai watu wa jimboni kwake wanauliza bombardier ndiyo nin?Mmmh kwa kosa gani
Umenikumbusha maneno ya Bwana Yesu, aliseme " kama wanayafanya haya kwa mti mbichi, kwenye mti mkavu itakuwaje? "! Usiku mwema.Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema Nape Moses Nnauye amevuliwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi kufuatia kikao kilichoongozwa na Mwenyekiti jijini Dar es salaam leo...
habari hizi ni za kunyapia nyapia zinzsema hata Lazaro nae yuko matatani....
Mod msiutoe huu uzi,habari hizi ni kutoka kwa mtu wa ndani kabisa ya Chama...
Kama mtu anayeongoza kukurupuka humu ni mleta mada,akili zako haziko sawa
Huyu TumainiEl si Lumumba?Kama mtu anayeongoza kukurupuka humu ni mleta mada,akili zako haziko sawa
Anaepinga maamuzi yangu he cannot surviveKosa la kumpiga vijembe mungu wa chama na nchi kwenye mitandao.
Anaepinga maamuzi yangu he cannot surviveKosa la kumpiga vijembe mungu wa chama na nchi kwenye mitandao.
Anaepinga maamuzi yangu he cannot surviveKosa la kumpiga vijembe mungu wa chama na nchi kwenye mitandao.
kweli kabisa yakishaanza kuwakuta labda watajifunza.walidhani wanayo hati milki ya nchi hii. Magufuli fukuza wote. hili ni somo kwa wanaonendelea kutema mbovu ndani ya chama chakavu ccmAcha itokee watu wapumbavu kama hao wanatakiwa kufukuzwa ili wengine wajifunze,
Waligeuza nchi yao hii kejeli kwa wenzao kila kukicha
Pasipo kujua dunia hii haina mwenye nayo
Nasema hivi wacha wafukuzwe tena watoke kabisa na wengine washaanza kudai katiba mpya
Wapumbavu ndo wameifikisha nchi hapa
Mbiti, tumainiel si ni ccm?nakumbuka alikuwa vocal sana humukichefu2
Huyu sijui kama hata anapata hizo buku 7 kwa madudu anayoandika humuHuyu TumainiEl si Lumumba?
Hembu amka kwanza una tusikilizisha ndoto zako usilale karibu na simuJamani SA palikuwa na mtu anaitwa Malema aliwapa hard time viongoz wa Anc lakin alivuliwa uwanachama kiuhalisia Malema is very smart than Nnape sasa mim nauliza kama kweli Nnape amevuliwa uwanachama mbona sina uwakika kama ataweza kufurukuta mtaani maana atakuwa kakatwa miguu na mikono bd thing hayupo smart nawambia let us nbe cool Nnape hawezi kukivuruga chama nawaambia hawezi na ninauwakika huu ndio mwanzo wakuimarisha chama.