Musoma Yetu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 2,633
- 2,297
Siyo nape tu! Ni watu kibao! Imeenea mtandaoni kwa whassap zaidi ya masaa manne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema Nape Moses Nnauye amevuliwa uanachama wa Chama cha Mapinduzi kufuatia kikao kilichoongozwa na Mwenyekiti jijini Dar es salaam leo...
habari hizi ni za kunyapia nyapia zinzsema hata Lazaro nae yuko matatani....
Mod msiutoe huu uzi,habari hizi ni kutoka kwa mtu wa ndani kabisa ya Chama...
Kama ni kweli basi CCM NI KAMA MNARA WA BABELI, freedom is coming soon in Tanzania
Ya IkuluMambo ya lumumba hayo
Kuhusu freedom tutasubiri sanaKama ni kweli basi CCM NI KAMA MNARA WA BABELI, freedom is coming soon in Tanzania
Mkuu yule aliyetufahamisha kukamatwa na kuzuiwa kwa bombardier sasa hivi yuko kwenye critical but stable condition.Unapoisema Bombadia kwa kusudi la "kuisimanga",jiandae kwa lolote.
Ile ndio "kampeni" ya baba mwenye nyumba!!
Unapoisema Bombadia kwa kusudi la "kuisimanga",jiandae kwa lolote.
Ile ndio "kampeni" ya baba mwenye nyumba!!