whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Damu nyingi inakuwa inazurura maeneo ya dushe, ubongo unakosa damu, na damu ndo inabeba oxygenKwahyo unataka kusema wenye ndonga kubwa ubongo unakua umehamia kwenye dushe au sioππππππ
Hapo ujue ubongo unakosa damu, damu inakuwepo maeneo ya dushe inazururaππππ
Umenikumbusha mbali sana. Siku moja nilikuwa niko sehemu sehemu na kidosho ananichezea huku ninachat na mtu. Kuna swali niliulizwa kwenye chat, jibu nililotoa hadi mtu niliekuwa nachat nae akaniuliza, hivi unafanya nii saa hizi? Baadae nilipoangalia vitu nilivyomjibu, I say, nikasema huyu hakuwa mimi!
Unaweza kuombwa nyumba uliyojega ukasema ichukue tu haina shida!
Ah kumbe oxygen ndo akili tupeni somo sisi tuliokimbia kusoma now tunahahamaa hatujui hata kituDamu nyingi inakuwa inazurura maeneo ya dushe, ubongo unakosa damu, na damu ndo inabeba oxygen
Ni ile ile uliyosoma mkuu, damu inabeba red blood cells ambazo zina hemoglobin inayobeba oxygen, oxygen inatengeneza nguvu mfumo wa ATP, ATP ndo inatumiwa na ubongo kuchaji na hapo ubongo unafanya kazi.Ah kumbe oxygen ndo akili tupeni somo sisi tuliokimbia kusoma now tunahahamaa hatujui hata kitu
Bila oxygen kicwani ubongo unalala, sasa dushe ikitaka damu ubongo lazima uachie damu na hivyo kupungukiwa na oxygen.Ah kumbe oxygen ndo akili tupeni somo sisi tuliokimbia kusoma now tunahahamaa hatujui hata kitu
Duh elimu tosha kabisa mm sikujua hiloBila oxygen kicwani ubongo unalala, sasa dushe ikitaka damu ubongo lazima uachie damu na hivyo kupungukiwa na oxygen.
Ndio maana hata ukikata ugali mzito na maharage mchana unasinzia. Damu nyingi inaenda kwenye tumbo kufanya kazi ya digestion, na ili ubongo usihitaji damu nyingi wakati huo inabidi ulale. Tofauti na ukisisimka ni kwamba wakati umesisimka, adrenalin zinakuwa zimeingia mwilini, na kukufanya usilale japo damu haiko kichwani, matokeo ni kwamba unakuwa macho lakini huna damu ya kutosha kuendesha ubongo ufanye maamuzi makini, unatoa dushu kwenye daladala na kumwagia dada kwenye makalio! Ila sasa, ukimwaga tu, damu yote inarudi kichwani, ubongo unaanza tena kuchanganya, na hapo ndipo unaanza kujishangaa na ulichofanya na kukumbuka mvua 30 zinazokungoja!
Ndivyo ilivyo hata kwenye chap chap za changudoa. Unapiga kavu kavu wakati damu haipo kichwani, damu ikirudi kichwani baada ya kumwaga ndio unakumbuka ukimwi na condom uliyonayo mfukoni!Duh elimu tosha kabisa mm sikujua hilo
Ohooo mtihabi kwahyo tuseme na yule anaeitwa popoma bas ana hali hii au siiπππNdivyo ilivyo hata kwenye chap chap za changudoa. Unapiga kavu kavu wakati damu haipo kichwani, damu ikirudi kichwani baada ya kumwaga ndio unakumbuka ukimwi na condom uliyonayo mfukoni!
Sasa ndio tunasema, inaonekana tatizo linakuwa baya zaidi ukiwa na dushu kubwa.
Mkuu ila wengine ni tabia zao tu mbaya, ndio maaa nikasema utafiti unapaswa kufanyika. Wasisingizie kuwa na dushu kubwaπππOhooo mtihabi kwahyo tuseme na yule anaeitwa popoma bas ana hali hii au siiπππ
Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.
Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.
Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.
Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.
Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane
Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.
Mmmh, hili nalo jambo, kwamba kila wakati kunakuwa hakuna damu ya kutosha kichwani?Ndio maana vichaa wengi ndio waliobarikiwa [emoji30]
Ndio maana pia unaambiwa unapopata shida kusimamisha, punguza stress, tulia, kwa kuwa unapokuwa stressed damu inang'ang'ania kichwani. Relax usiwaze mambo ya kazi au mengine ili damu iondoke kichwani ikasimamishe dushu!Naonaga wengi wanalalamika kusimamiasha Kwa tabu
KAMA WEWE N ULIEANDIKA N MWANAUME KUNA SHIDA.......Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.
Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.
Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.
Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.
Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane
Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.
Hebu niondolee ujinga wako wa kidini hapa. Nenda Afghanstan kama unajiona wewe mdini sana, eboo. Takbiiir mwenyewe, kama ni tusi.KAMA WEWE N ULIEANDIKA N MWANAUME KUNA SHIDA.......
ULIJUAJE UUME MKUBWA WA MWENZIO .ELSE UWE UNAJISEMA...
MAUMBILE YA MWENZIO WAFANYIA UTAFITII TAKBIIIIIR
Mimi iko busy bwana, sio kama wewe una muda wa kuwa JF 24/7 unategemea kutunzwa na shemeji sijui
Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.
Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.
Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.
Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.
Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane
Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.
Mkuu kwenye kilele, hata kibamia lazima aweweseke bhana!Una mume au boyfriend? Muulize swali ndogo tu la kufikirisha wakati amesisimka, na umpime kutokana na jibu lake, halafu linganisha na size yake ufanye judgement
Ulishasikia wanaume wanaahidi kumnunulia mtu Dreamliner wakati wako kwenye kilele? Ndio hapo sasa.
In fact, wanawake wengi wanaitumia sana hii phenomenon, toka enzi za mama zetu na leo, kudai kununuliwa kanga au IST wakati unajua mwanaume yuko ulimwengu wa juu!
Uongo huu ni uongo kabisaKuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.
Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.
Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.
Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.
Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane
Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.