Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
- Thread starter
- #121
Kwani mkuu, kwenye kikao cha mwisho cha wanaume hukuhudhuria mkuu? Mbona hili jambo liko wazi!!? Endelea kuwatia moyo, utakuja kuwaoa wote peke yako!Joline mwanangu, hii ni jf.
Unaweza kukuta wanaondama wanawake 30+ ni choka mbaya na hawawezi hata kumiliki mwanamke.
Niwatie moyo wadada wote wanaokimbilia 30 na waliovuka...
Wasijipe presha kila mtu na majira yake.
Ohoo! Ndo ukutane na Thate Plus aliyesoma chuo cha IFM [emoji24][emoji24]