Inasemekana wanawake wa thirty plus (30+) hawana maana katika maisha ya ndoa ya sasa

Inasemekana wanawake wa thirty plus (30+) hawana maana katika maisha ya ndoa ya sasa

Joline mwanangu, hii ni jf.
Unaweza kukuta wanaondama wanawake 30+ ni choka mbaya na hawawezi hata kumiliki mwanamke.
Niwatie moyo wadada wote wanaokimbilia 30 na waliovuka...
Wasijipe presha kila mtu na majira yake.
Kwani mkuu, kwenye kikao cha mwisho cha wanaume hukuhudhuria mkuu? Mbona hili jambo liko wazi!!? Endelea kuwatia moyo, utakuja kuwaoa wote peke yako!

Ohoo! Ndo ukutane na Thate Plus aliyesoma chuo cha IFM [emoji24][emoji24]
 
Hicho kilikuwa kikao cha wavulana mkuu.
Big boys hatunaga utoto huo tafadhali
Shimba ya Buyenze [emoji23]
Unawatetea kwa kuwa tayari una mke! Ungekuwa bado halafu ikatokea mama ina miaka 43 ikakuomba uioe, hapo ndo ungejua ni kwanini maji safi hayana rangi!

Fanya ku assume mkuu! Labda kama ni kuwafanya wake za pili hapo sawa!
 
Unawatetea kwa kuwa tayari una mke! Ungekuwa bado halafu ikatokea mama ina miaka 43 ikakuomba uioe, hapo ndo ungejua ni kwanini maji safi hayana rangi!

Fanya ku assume mkuu! Labda kama ni kuwafanya wake za pili hapo sawa!
🤣😂😂😂😂😂
Kijana wangu, kisichokufaa wewe kitamfaa mwingine..usisahau kuna wagane na watalaka wa rika hiyo watamuoa.
Sasa kuna mwanamke huwa anajitakia avuke 30+?
Dada yako akivuka utamfukuza?
Vaa viatu huyo 40+ angekua dada yako ungeongea haya?
 
Iko hivi;
Si kila mtu ukitoka naye hotelini/ lodge mmetoka kulana but sio kila mtu atakuelewa.

So jitahidi kufanya hivyo mazingira ambayo jamii inayokuona haikufahamu.

Unaweza kusema kila mtu aishi maisha yake tusifuatilane na sijali.
But niamini one day yatakugharimu sana
Tena mazingira ambayo yangekutoa kimaisha lakini ukakosa trust ya jamii husika au hata mpenzi wako hasa yule wa kufa na kupona.

Nikupe ushuhuda..nilimwazima gari rafiki yangu wa kike gari ampeleke mamake hospital.
Njiani akakamatwa na traffic police akanipigia.
Traffic alikuwa ni wa kike...nikamwambia huyo ni wifi yako[emoji23][emoji23] achana naye.

Mmh sasa siku nyingine nadrive mwenyewe niko sasa na mhusika mwenyewe haswa..[emoji23][emoji23]umenisoma.

Yule traffic akaona gari kanisimamisha mimi sasa.
Si akaanza kuropoka oooh nilimwona wifi bhana[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Unakifaa sana...yaani hata hakujiongeza aone kuwa niko na mtu garini na hajui ni nani wangu yeye anaropoka tu.

Baada ya hapo huo moto sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

King kijana wangu tahadhari muhimu mkuu utalia bure kumbe hata hukufaidi ilikuwa utani tu.

Una point ya msingi sana

Minor issues zinakujaga kuwa kubwa wakati usiotarajia[emoji2214][emoji2214]
 
Amekupigaje pesa bila kukupa mbususu?

Na huyu ndiye mwanamke wa kuoa sasa.
 
Little difficult kuoa mwanamke thate plus Kama Hana pesa
Ila n wazuri kuoa kupata mtaji au pesa ya kuendelezea biashara
 
Hapana. Usitishwe na vijana wadogo hawa. Wengi wao bado wako mashuleni na vyuoni huko na hawayajui maisha sawasawa.

30+ ndo wanawake wa kuoa sasa. Wameshamalizana na utoto na wanajua thamani ya ndoa na maisha. Below 30 wengi ni pasua kichwa na ukikuta na mwanaume naye hajakomaa basi ni shida tupu. Ndo maana ndoa nyingi hazidumu!

View attachment 2271836
Ahah Shimba ya Buyenze naelewa wala hawanitishi hao vijana.
 
Joline mwanangu, hii ni jf.
Unaweza kukuta wanaondama wanawake 30+ ni choka mbaya na hawawezi hata kumiliki mwanamke.
Niwatie moyo wadada wote wanaokimbilia 30 na waliovuka...
Wasijipe presha kila mtu na majira yake.

Wapo wengi wameolewa wakiwa na 22-25 lkn wamejikuta ni ma single parent wameachika, sababu kubwa waliinhiwa ndoani wakiwa watoto na hawajui majukumu yao kama wake.
Lakini 30+ huyu ni mwanamke na mama bora wa familia.
Msichojua mwanaume pia hupenda kulelewa kiaina, kuna vionjo flani anavitarajia toka kwa mwanamke.
39+ ndio huo utundu, ujanja na utukutu wa kumteka mwanaume wanao kwasababu wanajua thamani ya mwanaume.
Kwa maneno haya imarika na usitetereke hata ukivuka mume wako yupo tu[emoji8][emoji8]
Nimekuelewa shukran sana mkuu though mm umri wangu bado sana kufikia hiyo 30 lkn asante nimekuelewa.
 
Siyo poa bana.

30+ ndo wanayajua maisha sasa na wameamua kutulia. Kimapenzi ni kweli wanaweza kuwa wameumizwa na kutumika sana hasa kama walikuwa hawajatulia lakini wanajua thamani ya mapenzi na ndoa.

Best wives [emoji736]️

Best mothers [emoji736]️

Best economists kwa maendeleo ya familia [emoji736]️

Power couple [emoji736]️
Ndyooo babuuuuh.
 
Back
Top Bottom