Dionize N
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,848
- 3,293
30+ wazuri kama kwa ajiri ya maisha wengi. wao wame komaa , ingawa wapo waliotoboka
Hamna kitu Mkuu, ni akili ya mtu tu...wapo wa umri huo lakini ni kama wako 20’s
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
30+ wazuri kama kwa ajiri ya maisha wengi. wao wame komaa , ingawa wapo waliotoboka
Sasa wee miaka 30 hajaolewa sii maana yake breki pumbuz huyo.
Kidume ata hwe na miaka 80 unapaswa kucheza na watoto wa miaka 24 mpaka 28 hapo
Kwani ni kosa kibabu wa miaka 80 kuoa mwanamke wa miaka 26? Hela tuu kaka unajilia warembo safi kabisa[emoji28]unanukia harufu ya jela mkuu
Kwaiyo mkuu, wote tukisema tuwaache, wataolewa na nani sasa!!?
Mkuu wangu kwema ! Kumekucha habari za mida ? Mama mchungaji hana hofu na jirani yake ..
Niko poa, nimeshtuka kuona nyao zake😂Mkuu wangu kwema ! Kumekucha habari za mida ? Mama mchungaji hana hofu na jirani yake ..
Sijalala toka jana na usingizi umenipiga block, napita pita huku kupoteza mda na kusoma mawili matatu aisee ya wadau.Niko poa, nimeshtuka kuona nyao zake😂
Wanaume tunapitia magum sanaSijalala toka jana na usingizi umenipiga block, napita pita huku kupoteza mda na kusoma mawili matatu aisee ya wadau.
Kwa siri gan sasa? Mbna wanaonesha wazi wazi ili jamii ya forum ujue, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna wengine hata huwazi au kutegemea, unakuta yuko ndani ya kapu. KhaaaaahAaah nilijua tunaongea siri kumbe watuchora?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulivyomalizia ni dongo la mtu, nimekusoma hahaKwa siri gan sasa? Mbna wanaonesha wazi wazi ili jamii ya forum ujue, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna wengine hata huwazi au kutegemea, unakuta yuko ndani ya kapu. Khaaaaah
Mimi sina neno kabisa Leo🤣🤣
Basi kuwa na wikendi njema mamaMimi sina neno kabisa Leo🤣🤣
Ahsanteeee. Ukawe na weekend njema piaBasi kuwa na wikendi njema mama