Inasemekana wanawake wa thirty plus (30+) hawana maana katika maisha ya ndoa ya sasa

Inasemekana wanawake wa thirty plus (30+) hawana maana katika maisha ya ndoa ya sasa

Iko hivi;
Si kila mtu ukitoka naye hotelini/ lodge mmetoka kulana but sio kila mtu atakuelewa.

So jitahidi kufanya hivyo mazingira ambayo jamii inayokuona haikufahamu.

Unaweza kusema kila mtu aishi maisha yake tusifuatilane na sijali.
But niamini one day yatakugharimu sana
Tena mazingira ambayo yangekutoa kimaisha lakini ukakosa trust ya jamii husika au hata mpenzi wako hasa yule wa kufa na kupona.

Nikupe ushuhuda..nilimwazima gari rafiki yangu wa kike gari ampeleke mamake hospital.
Njiani akakamatwa na traffic police akanipigia.
Traffic alikuwa ni wa kike...nikamwambia huyo ni wifi yako[emoji23][emoji23] achana naye.

Mmh sasa siku nyingine nadrive mwenyewe niko sasa na mhusika mwenyewe haswa..[emoji23][emoji23]umenisoma.

Yule traffic akaona gari kanisimamisha mimi sasa.
Si akaanza kuropoka oooh nilimwona wifi bhana[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Unakifaa sana...yaani hata hakujiongeza aone kuwa niko na mtu garini na hajui ni nani wangu yeye anaropoka tu.

Baada ya hapo huo moto sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

King kijana wangu tahadhari muhimu mkuu utalia bure kumbe hata hukufaidi ilikuwa utani tu.
😂😂😂😂😂
Brooooo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kama nakuona vile
 
Mwanamke aliefika miaka 30 na hajaolewa huyo ni mjane hata Kama hajafiwa na mume miaka yote hiyo watu wanaiburuza na hawajaona ikifaa kuwekwa ndani we unaenda kujibebesha msala
Siyo poa bana.

30+ ndo wanayajua maisha sasa na wameamua kutulia. Kimapenzi ni kweli wanaweza kuwa wameumizwa na kutumika sana hasa kama walikuwa hawajatulia lakini wanajua thamani ya mapenzi na ndoa.

Best wives [emoji736]️

Best mothers [emoji736]️

Best economists kwa maendeleo ya familia [emoji736]️

Power couple [emoji736]️
 
Siyo poa bana.

30+ ndo wanayajua maisha sasa na wameamua kutulia. Kimapenzi ni kweli wanaweza kuwa wameumizwa na kutumika sana mpaka kule chini mileage zimeenda lakini wanajua thamani ya mapenzi na ndoa.

Best wives

Best mothers

Best economists....

Power couple [emoji736]️
Hawawezi kukuelewa, 30+ ndio wanawake bora zaidi
 
Habari wanajamvi,

Kuna huu msemo umezidi kushamiri katika maeneo mengi tofauti! Ni kuhusiana na kushushwa thamani ya kuwepo katika ndoa kwa wanawake aina ya thate plus!

Thate plus ni mwanamke wa aina gani?
  • Mwanamke kuanzia miaka thelathini na kuendelea, ingawa wanaume wengi huwahesabia kuanzia miaka 27
  • Mwanamke mwenye mtoto au watoto aliyowapata pasi na ndoa ama maisha ya ndoa
Mwanamke yupi huchukuliwa kuwa anafaa kwa ndoa katika jamii?
Mtazamo wa wanaume walio wengi huwachukulia wanawake wenye sifa hizi kuwa wanafaa kwa ajili ya ndoa:
  • Mwanamke mwenye elimu ya kawaida tu, asiye na elimu ya chuo kikuuu, maake waliomaliza vyuo vikuuu huonekana kutumika sana kingono
  • Mwanamke asiye na kazi ama shughuli/biashara kubwa. Mwanamke mwenye kazi yake huleta kiburi ndani ya nyumba kwa mumewe
  • Umri miaka 16 hadi 24, hawa huonekana kutopitia mikiki mingi ya kimaisha hasa katika swala zima la kimapenzi, tofauti na walio na umri mkubwa kwa kuwa wamekuwa wakomavu zaidi na wamepitia majaribu ya wanaume wengi
  • Mwenye asili ya maisha ya kawaida, yasiyo ya kimaskini sana ama ya kitajiri! Wanaume huamini kuwa mabinti wa kikata zaidi wametumiwa zaidi na wanaume wengi ili kujipatia mahitaji yao, pia wale kitoka familia za kitajiri ni wababaishaji, mguu nje mguu ndani
  • Mwenye elimu msingi, yaani ya kidato cha nne! Kwa sababu wanakuwa wameondoa ujinga ndani yao, wamejifunza ku-interact na watu! Kama zilivyo ajira za siku hizi za unesi kuwajali waliosoma diploma na ndivyo ambavyo wanaume wengi hupenda kuoa wasichana wadogo waliosomea diploma! hawana mambo mengi!
Mwanamke mwenye miaka 30 na kuendelea hana njia yoyote ya kumshawishi mwanaume kuwa hana mtoto hata kama hana kweli! Maake kisayansi imebainika kuwa wanawake miaka 26 huwa na matamanio ya hali ya juu ya kumiliki mtoto!

Angalizo kwa wanawake walioko Red Line (Danger zone)
  • Ukipata nafasi kutoka kwa mtu serious ya kukuoa katika umri wako sahihi kabla ya kuwa thate mamaa mkubarie tu, angalau ufiche aibu utakayoipata kwa kukosa mume ama kuwa mke wa nne kwa mahali ya ugoro wa bibi badala ya khanga ya mama!
  • Mwanaume halingiwi, thamani yake hupanda kila kukicha, thamani ya mwanamke hushuka kila kukicha! Sasa we jidai na hivyo vingereza vya I can't
Maoni zaidi:
Wanaume, mnawachukulia vipi wanawake aina ya thate plus kwa mtazamo wenu?
Kumbe ni mtazamo wako!!
 
We phaller unakula kwenye tv yaani watu wanaona live lkn wenzio ni mwendo wa kimya kimya...hivyo utajikuta unapitia makapi[emoji1787][emoji1787].

Hadi sasa initial hizi...L na C umefuta daah
Ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno!

Mitandaoni humu unaweza kujiona we ndo mfalme wa Alpha males kumbe njemba za kimya kimya zinakuchora tu unavyohangaika na makapi.

Ni vyema kutulia na kulisoma gemu kwanza vinginevyo waweza jikuta unahangaika hata na mtu ambaye keshapitiwa na kila baharia...

Ni hatari sana lakini salama! [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno!

Mitandaoni humu unaweza kujiona we ndo mfalme wa Alpha males kumbe njemba za kimya kimya zinakuchora tu unavyohangaika na makapi.

Ni vyema kutulia na kulisoma gemu kwanza vinginevyo waweza jikuta unahangaika hata na mtu ambaye keshapitiwa na kila baharia...

Ni hatari sana lakini salama! [emoji16][emoji16][emoji16]
Umemaliza kila kitu.
Mbwa asiye bweka ni hatari sana.
 
Vita dhidi ya wanawake ni heavy!
Mungu asaidie tuolewe kabla ya huo umri aisee! Kazi kweli kweli!!!
Hapana. Usitishwe na vijana wadogo hawa. Wengi wao bado wako mashuleni na vyuoni huko na hawayajui maisha sawasawa.

30+ ndo wanawake wa kuoa sasa. Wameshamalizana na utoto na wanajua thamani ya ndoa na maisha. Below 30 wengi ni pasua kichwa na ukikuta na mwanaume naye hajakomaa basi ni shida tupu. Ndo maana ndoa nyingi hazidumu!

Screenshot_20211107-145908_Telegram.jpg
 
Siyo poa bana.

30+ ndo wanayajua maisha sasa na wameamua kutulia. Kimapenzi ni kweli wanaweza kuwa wameumizwa na kutumika sana hasa kama walikuwa hawajatulia lakini wanajua thamani ya mapenzi na ndoa.

Best wives [emoji736]️

Best mothers [emoji736]️

Best economists kwa maendeleo ya familia [emoji736]️

Power couple [emoji73️
Mwanamke mwenye maiak 30 huyo jua limeshazama kwenye soko la ndoa huwa wanaingia kwa msaada wa ndumba na ukijichanganya ukawa nae anakuganda balaa
 
Vita dhidi ya wanawake ni heavy!
Mungu asaidie tuolewe kabla ya huo umri aisee! Kazi kweli kweli!!!
Joline mwanangu, hii ni jf.
Unaweza kukuta wanaondama wanawake 30+ ni choka mbaya na hawawezi hata kumiliki mwanamke.
Niwatie moyo wadada wote wanaokimbilia 30 na waliovuka...
Wasijipe presha kila mtu na majira yake.

Wapo wengi wameolewa wakiwa na 22-25 lkn wamejikuta ni ma single parent wameachika, sababu kubwa waliinhiwa ndoani wakiwa watoto na hawajui majukumu yao kama wake.
Lakini 30+ huyu ni mwanamke na mama bora wa familia.
Msichojua mwanaume pia hupenda kulelewa kiaina, kuna vionjo flani anavitarajia toka kwa mwanamke.
39+ ndio huo utundu, ujanja na utukutu wa kumteka mwanaume wanao kwasababu wanajua thamani ya mwanaume.
Kwa maneno haya imarika na usitetereke hata ukivuka mume wako yupo tu😘😘
 
Joline mwanangu, hii ni jf.
Unaweza kukuta wanaondama wanawake 30+ ni choka mbaya na hawawezi hata kumiliki mwanamke.
Niwatie moyo wadada wote wanaokimbilia 30 na waliovuka...
Wasijipe presha kila mtu na majira yake.

Wapo wengi wameolewa wakiwa na 22-25 lkn wamejikuta ni ma single parent wameachika, sababu kubwa waliinhiwa ndoani wakiwa watoto na hawajui majukumu yao kama wake.
Lakini 30+ huyu ni mwanamke na mama bora wa familia.
Msichojua mwanaume pia hupenda kulelewa kiaina, kuna vionjo flani anavitarajia toka kwa mwanamke.
39+ ndio huo utundu, ujanja na utukutu wa kumteka mwanaume wanao kwasababu wanajua thamani ya mwanaume.
Kwa maneno haya imarika na usitetereke hata ukivuka mume wako yupo tu[emoji8][emoji8]
Umemaliza kila kitu...

Maneno ya busara sana!

JF hii ya kila mtu tajiri...

Kila mtu ana kazi nzuri...

Kila mtu ana pisi kali tena anazibadilisha anavyotaka...na zikizingua anapiga chini fasta!

Ni ya kuwa nayo makini sana maana inaweza kumharibu mtu kisaikolojia.
 
Umemaliza kila kitu...

Maneno ya busara sana!

JF hii ya kila mtu tajiri...

Kila mtu ana kazi nzuri...

Kila mtu ana pisi kali tena anazibadilisha anavyotaka...na zikizingua anapiga chini fasta!

Ni ya kuwa nayo makini sana maana inaweza kumharibu mtu kisaikolojia.

Wanasema siwezi kuwa masikini mtaani na mtandaoni niwe kapuku🤣🤣
 
Nko ktandan kwake saiz. Yeye anafua nje,,nawaza sjui nimdinye au niondoke zangu mana nalinda sana future yanguh. Hawa 30+ wanajua sana kutunganganiza wanaume
 
Siyo poa bana.

30+ ndo wanayajua maisha sasa na wameamua kutulia. Kimapenzi ni kweli wanaweza kuwa wameumizwa na kutumika sana hasa kama walikuwa hawajatulia lakini wanajua thamani ya mapenzi na ndoa.

Best wives [emoji736]️

Best mothers [emoji736]️

Best economists kwa maendeleo ya familia [emoji736]️

Power couple [emoji736]️
Mwenzao huku kanipiga kibunda cha 67k na sijaambulia hata mate yake kwenye glass [emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom