Baba Dayana
Senior Member
- Jul 1, 2016
- 144
- 330
Yani mnachukulia usingizi ni kitu serious sana mpaka mnakuwa na nguo za kulalia, Yani mtu anakuwaje na nguo za kulalia? Mimi najua unajitupa tu kitandani unalala Ivo Ivo.
Nguo zakulalia tena?
Nguo zakulalia tena?